joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Haya ni maumivu ya Rais Sheikh Madobe kushinda uchaguzi. Serikali dhaifu na rais wao Farmaajo kule Villa Somaaliya, Mogadishu, walidhani kwamba Kenya kumuunga mkono Madobe ilikuwa ni mzaha. Mipango ya Kenya kuhusu taifa la Jubbaland imetimia. Kesho utasikia kwamba Rais Madobe ametoa taarifa ya kukanusha haya madai ya Farmaajo na serikali yake. Hamna haja ya Kenya kujibu wala kushughulika na hivi vilio vyao. Hapa tunawaacha tu wakate viuno kwa mziki wetu kama vikaragosi.by the time we are done with Somalia they will be speaking Swahili
Some of these Somalis from Mogadishu are very emotional, most of them have no mental image of what a functioning govt can do to push its interests... they think we will use bullets, ha ha ha, They should remember how the ICC situation in Kenya was solved. By the time the cases were dismissed the whole world was against ICC...these days nobody even talks about ICC.Haya ni maumivu ya Rais Sheikh Madobe kushinda uchaguzi. Serikali dhaifu na rais wao Farmaajo kule Villa Somaaliya, Mogadishu walidhani kwamba Kenya kumuunga mkono Madobe ilikuwa ni mzaha. Mipango ya Kenya kuhusu taifa la Jubbaland imetimia. Kesho utasikia kwamba Rais Madobe ametoa taarifa ya kukanusha haya madai ya Farmaajo na serikali yake. Hamna haja ya Kenya kujibu wala kushughulika na hivi vilio vyao. Hapa tunawaacha tu wakate viuno kwa mziki wetu kama vikaragosi.
Hahaa! [emoji1] Farmaajo is translucent, just like a salamander. His antics remind me of this meme.Some of these Somalis from Mogadishu are very emotional, most of them have no mental image of what a functioning govt can do to push its interests... they think we will use bullets, ha ha ha, They should remember how the ICC situation in Kenya was solved. By the time the cases were dismissed the whole world was against ICC...these days nobody even talks about ICC.
Subiri Al Shabaab waanze kuripua visima vya mafuta kule Turkana hawa nyang'au akili itawakaa vizuri. Adui muombee njaa.Hili sio jambo la kupuuza, uhusiano kati ya Serikali ya Somalia inayoungwa mkono na Jumuiya ya kimataifa, AU na Ethiopia imetangaza rasmi kupitia Waziri wake kwamba KDF ni adui wa Somalia.Nation - Breaking News, Kenya, Africa, Politics, Business, Sports | HOME
Nation.Africa brings the Latest News from Kenya, Africa and the World. Get live news and latest stories from Politics, Business, Technology, Sports and more.www.nation.co.ke
Hii ni hatari sana kwa usalama wa Kenya ambao tayari ni mbaya sana, hasa hasa baada ya KDF kujipeleka Somalia kichwa kichwa kuisadia serikali hiyo hiyo ya Somalia ambayo Leo inawaona KDF kuwa ni adui yao.
Shabab utamshinda vipi kama utamruhusu kupiga simu na kumruhusuHili sio jambo la kupuuza, uhusiano kati ya Serikali ya Somalia inayoungwa mkono na Jumuiya ya kimataifa, AU na Ethiopia imetangaza rasmi kupitia Waziri wake kwamba KDF ni adui wa Somalia.Nation - Breaking News, Kenya, Africa, Politics, Business, Sports | HOME
Nation.Africa brings the Latest News from Kenya, Africa and the World. Get live news and latest stories from Politics, Business, Technology, Sports and more.www.nation.co.ke
Hii ni hatari sana kwa usalama wa Kenya ambao tayari ni mbaya sana, hasa hasa baada ya KDF kujipeleka Somalia kichwa kichwa kuisadia serikali hiyo hiyo ya Somalia ambayo Leo inawaona KDF kuwa ni adui yao.
Hii mafuta yetu naona umelala ukiiota usiku nzima. Njoo tukugawie kidogoSubiri Al Shabaab waanze kuripua visima vya mafuta kule Turkana hawa nyang'au akili itawakaa vizuri. Adui muombee njaa.
Tayari tunapigana nao na tumeshawakalisha chini. Wao ndio wanapiga mayowe, sio sisi.Wakenya Mnataka vita na somalia
Mtaweza?
Ova
Tatizo lenu Kenya hamjui mlitendalo, mlikwenda Somalia bila mipango ya kueleweka, matokeo yake Kenya imeingia katika orodha za nchi zenye ugaidi duniani, Kenya inaendelea kulipa gharama kubwa kutokana na uamuzi ule wa hovyo.Tayari tunapigana nao na tumeshawakalisha chini. Wao ndio wanapiga mayowe, sio sisi.
Acha upumbafuu mafuta yenu na nani mafuta ya Kenyatta hayo acha utaniHii mafuta yetu naona umelala ukiiota usiku nzima. Njoo tukugawie kidogo
Serikali ya Somalia na sio ile ya Jubaland(Madobe) ambayo ni buffer zone...unatarajia Vita Ila hutaiona...afu vipi unajisahaulisha ATCL imekamatwa juu ya Madeni kwa mabwana zenu South Africa.πππHili sio jambo la kupuuza, uhusiano kati ya Serikali ya Somalia inayoungwa mkono na Jumuiya ya kimataifa, AU na Ethiopia imetangaza rasmi kupitia Waziri wake kwamba KDF ni adui wa Somalia.Nation - Breaking News, Kenya, Africa, Politics, Business, Sports | HOME
Nation.Africa brings the Latest News from Kenya, Africa and the World. Get live news and latest stories from Politics, Business, Technology, Sports and more.www.nation.co.ke
Hii ni hatari sana kwa usalama wa Kenya ambao tayari ni mbaya sana, hasa hasa baada ya KDF kujipeleka Somalia kichwa kichwa kuisadia serikali hiyo hiyo ya Somalia ambayo Leo inawaona KDF kuwa ni adui yao.
πππ ATCL imekamatwa na mtu binafsi kule SA...yani jiwe Hana la kuwasaidia kwa pesa zenu...zimekunywa maji πππAcha upumbafuu mafuta yenu na nani mafuta ya Kenyatta hayo acha utani
Hata Mimi nashangaa Sana ...canis lupusTatizo lenu Tanzania hamjui mlitendalo, mlikwenda SA na ATCL bila mipango ya kueleweka, matokeo yake Tanzania imeingia katika orodha za nchi zenye kuhepa na Madeni duniani, Tanzania inaendelea kulipa gharama kubwa kutokana na uamuzi ule wa hovyo.
Sasa mnajiingiza katika uhasama na South Africa, moja kwa moja mtakua mumeifanya Namibia ni adui yenu, je hiyo ATCL yenu ambayo hata hivyo ilishajifia zamani itakuaje?, itabaki kuwa EX-ATCL
Muhimu sio kushindwa au kushindwa, ni lazima mjifunze kuishi kwa kulipa madeni za majirani zenu. Sasa hivi South Africa na Canada ni maadui zenu, Kenya kuna mgogoro wa kuchoma vifaranga unatokota, Uganda kuna Mifugo mlipiga mnada mnagombana. Mtaishije kwa amani kama mnagombana na majirani wote?
Toa hiyo Avatar nitakushtaki unilipe fidia ya mamilioniby the time we are done with Somalia they will be speaking Swahili
We are also training there police and their doctors, nurses, civil servants , building roads etc
Now because you have been training them, they know you very well, they are going to use tactics against Kenya.We are also training there police and their doctors, nurses, civil servants , building roads etc