eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
baada ya serikali ya kongo kuridhika na udhibiti wa rasilimali za nchi yetu hususan madini. Wameomba makinikia yao kuja kusafishwa nchini.
katika mazungumzo yao, mawaziri hao wamekubaliana kusafisha makinikia ya Congo hapa nchini. akifafanua, waziri wa madini wa Congo, amesema wana imani na Tanzania na hivyo wanaona maslahi yao kama nchi yatakuwa salama.
katika mazungumzo yao, mawaziri hao wamekubaliana kusafisha makinikia ya Congo hapa nchini. akifafanua, waziri wa madini wa Congo, amesema wana imani na Tanzania na hivyo wanaona maslahi yao kama nchi yatakuwa salama.