Hivi ya kwetu ya dhahabu tumeshaanza kuyachakata wenyeweSANAA NA WASANII,ZIMA KIKI WASHA MZIKI,HATUPOI WALA HATUBOI.
Bado mkuu si unajua sisi tuna upendo zaidi ya mfalme suleimani.Hivi ya kwetu ya dhahabu tumeshaanza kuyachakata wenyewe
Muwekezaji asicheleweshwe kwa sababu zozote, hiyo ni fursa kubwa sana ya uchumi, na nchi zote zinazozalisha madini Africa lazima zisafishe madini yake Tz, wajenge kiwanda Geita maana Congo wana Cobalt kama yotebaada ya serikali ya kongo kuridhika na udhibiti wa rasilimali za nchi yetu hususan madini. Wameomba makinikia yao kuja kusafishwa nchini.
katika mazungumzo yao, mawaziri hao wamekubaliana kusafisha makinikia ya Congo hapa nchini. akifafanua, waziri wa madini wa Congo, amesema wana imani na Tanzania na hivyo wanaona maslahi yao kama nchi yatakuwa salama.View attachment 905206
Mtambo huo unatafutiwa mwekezaji ndio wafanye.. Na hii sio suala la leo ama kesho ni la mda kidogo..So assurance ya uchakataji ni mpaka mwekezaji apatikane..