Nchi ya maajabu, mmeshindwa kujenga viwanda mlivyoshadadia kama watoto wa chekechea, leo maona mtawateka "wajnga" kwa ngonjela za Kiswahili as if sheria zikiandikwa kwa Kiswahili uchumi wa nchi utachupa.
Sasa nguvu yote ni Kiswahili, kiswahili Kiswahili! Mwijage akaja na "ujinga" eti cherahani ni Kiwanda, na "wajinga wakashangilia.
Kiswahili kipo, kitaendelea kukua na si cha kushadadia kama vile ndio nguzo ya uchumi wetu.