Mageuzi/mapinduzi yoyote huletwa na wananchi/raia/tabaka la chini kabisa baada ya kuchoshwa na vitimbi vya watawala. yaani muda ukifika utaona kila mtu anachukua hatua. Haihitaji wasomo wengi. Angali mapinduzi ya Ufaransa, Uingereza, Marekani na Urusi.
Lazima uwe kwenye klabu ya mataputapu kuja na ulevi kama huoSijakusoma kabisa.......???
Lazima uwe kwenye klabu ya mataputapu kuja na ulevi kama huo
This is my country.....
Hivi vipaji vyote vimetusaidia vipi?
Nani wa kulaumiwa?