Tetesi: Serikali ya Tanzania yamwaga Pesa mitaani

Tetesi: Serikali ya Tanzania yamwaga Pesa mitaani

iphoneX

Senior Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
193
Reaction score
173
Sallaam wadau!
Inasemekana serikali

Imetoa pesa za vijana, akina mama na wazee kupitia Saccos zinazotambulika, zikiwemo zile zinadhodhaminiwa kwa mwanvuli wa serikali. Kwa mujibu wa afsa mikopo niliyewasiliana naye kutaka kujua kwa undani zaidi; anasema pesa ni kweli za serikali ila ili uweze kukopeswa lazima ufanye yafuatayo;

Mosi, uwe mwanachama wa Saccos yoyote inayotambulika kisheria, na ili uwe mwanachama ni lazima ujiunge kwa kununua HISA, na hisa moja inauzwa 20,000/= sasa kuna baadhi ya saccos wanataka ili uwe mwanachama lazima uwe na hisa kuanzia 10, hii ndio kusema mwananchi wa kawaida ili apate uo mkopo lazima awe na kianzio cha laki moja kwanza(100,000/=) bado kufungua akaunti(10,000/=), na bima ya mkopo(15,000/=)

Pili, kitambulisho cha kura/taifa na kopi yake pamoja na picha 2 za passport size.

Note.
Afsa mikopo ameshindwa kujibu swali langu lililotaka kujua je, hizo fedha zinazoitwa za Magufuri zimetokwa wapi, na ktk kasma gani, na kwa bajeti ipi ya serikali!? badala yake anasema pesa zimeengizwa direct bank za nmb na crdb, Mara wengine wanasema Saccos nd wamepewa hizo pesa, lakini vilevile ameshindwa kunambia idadi kamili ya waliolengwa kufikiwa na huo mkopo,majibu yake ananambia siyo kazi yangu mimi na wao ndio wanaojua kyo kwa maneno mengine mkopo umejaa usiri, Kama nataka nisubiri semina maana kabla ya kupewa mkopo kuna semina itatolewa kwa wahusika.

MY TAKE.
Wadau Kama kuna MTU anajua hizi habari tafadhari tunaomba maelekzo ya kina. Isije kuwa matapeli wapo kazini na vyuma vilivyokaza hivi!
 
Sallaam wadau!
Inasemekana serikali

Imetoa pesa za vijana, akina mama na wazee kupitia Saccos zinazotambulika, zikiwemo zile zinadhodhaminiwa kwa mwanvuli wa serikali. Kwa mujibu wa afsa mikopo niliyewasiliana naye kutaka kujua kwa undani zaidi; anasema pesa ni kweli za serikali ila ili uweze kukopeswa lazima ufanye yafuatayo;

Mosi, uwe mwanachama wa Saccos yoyote inayotambulika kisheria, na ili uwe mwanachama ni lazima ujiunge kwa kununua HISA, na hisa moja inauzwa 20,000/= sasa kuna baadhi ya saccos wanataka ili uwe mwanachama lazima uwe na hisa kuanzia 10, hii ndio kusema mwananchi wa kawaida ili apate uo mkopo lazima awe na kianzio cha laki moja kwanza(100,000/=) bado kufungua akaunti(10,000/=), na bima ya mkopo(15,000/=)

Pili, kitambulisho cha kura/taifa na kopi yake pamoja na picha 2 za passport size.

Note.
Afsa mikopo ameshindwa kujibu swali langu lililotaka kujua je, hizo fedha zinazoitwa za Magufuri zimetokwa wapi, na ktk kasma gani, na kwa bajeti ipi ya serikali!? badala yake anasema pesa zimeengizwa direct bank za nmb na crdb, Mara wengine wanasema Saccos nd wamepewa hizo pesa, lakini vilevile ameshindwa kunambia idadi kamili ya waliolengwa kufikiwa na huo mkopo,majibu yake ananambia siyo kazi yangu mimi na wao ndio wanaojua kyo kwa maneno mengine mkopo umejaa usiri, Kama nataka nisubiri semina maana kabla ya kupewa mkopo kuna semina itatolewa kwa wahusika.

MY TAKE.
Wadau Kama kuna MTU anajua hizi habari tafadhari tunaomba maelekzo ya kina. Isije kuwa matapeli wapo kazini na vyuma vilivyokaza hivi!
HEEE HUKU MWISHO UMEZINGUA
 
HEEE HUKU MWISHO UMEZINGUA
Nmezingua nini mjanja!? Kuhusu habari hzo ni kweli nmeambiwa na watu wanatiririki kujaza fomu na kuomba huo mkopo mf uku Tanga deadline ni kesho, Lkn kutokana na maelezo na majibu ya afsa mikopo hayakuniridhisha, hvyo hata mimi nina mawaa juu ya hizo pesa
 
Jumla ni kiasi gani...tujue kama zitaongeza liquidity au porojo tu baada ya kuchukua bilioni 500 zile walizopeleka BOT zikaliwe na mchwa badala ya kuzizungusha
 
Jumla ni kiasi gani...tujue kama zitaongeza liquidity au porojo tu baada ya kuchukua bilioni 500 zile walizopeleka BOT zikaliwe na mchwa badala ya kuzizungusha
Mkuu mm nipo tanga nmejaza fomu nipo mpk tarehe5 hyo ya semina. Ntatoa mrejesho hapa. Lkn so far jamaa hawatoi ushirikiano wowote km Luna MTU yupo Muheza aje nmuelekeze! Kama hata idadi hawasemi ya watu waliowalenga nd watakwambia jumla ni kiasi Gan mkuu!?
 
asilimia 80 ya SACCOS zimejaa ufisadi na ubadhirifu..., bora waziachie benki zifanye hiyo kazi
 
Sallaam wadau!
Inasemekana serikali

Imetoa pesa za vijana, akina mama na wazee kupitia Saccos zinazotambulika, zikiwemo zile zinadhodhaminiwa kwa mwanvuli wa serikali. Kwa mujibu wa afsa mikopo niliyewasiliana naye kutaka kujua kwa undani zaidi; anasema pesa ni kweli za serikali ila ili uweze kukopeswa lazima ufanye yafuatayo;

Mosi, uwe mwanachama wa Saccos yoyote inayotambulika kisheria, na ili uwe mwanachama ni lazima ujiunge kwa kununua HISA, na hisa moja inauzwa 20,000/= sasa kuna baadhi ya saccos wanataka ili uwe mwanachama lazima uwe na hisa kuanzia 10, hii ndio kusema mwananchi wa kawaida ili apate uo mkopo lazima awe na kianzio cha laki moja kwanza(100,000/=) bado kufungua akaunti(10,000/=), na bima ya mkopo(15,000/=)

Pili, kitambulisho cha kura/taifa na kopi yake pamoja na picha 2 za passport size.

Note.
Afsa mikopo ameshindwa kujibu swali langu lililotaka kujua je, hizo fedha zinazoitwa za Magufuri zimetokwa wapi, na ktk kasma gani, na kwa bajeti ipi ya serikali!? badala yake anasema pesa zimeengizwa direct bank za nmb na crdb, Mara wengine wanasema Saccos nd wamepewa hizo pesa, lakini vilevile ameshindwa kunambia idadi kamili ya waliolengwa kufikiwa na huo mkopo,majibu yake ananambia siyo kazi yangu mimi na wao ndio wanaojua kyo kwa maneno mengine mkopo umejaa usiri, Kama nataka nisubiri semina maana kabla ya kupewa mkopo kuna semina itatolewa kwa wahusika.

MY TAKE.
Wadau Kama kuna MTU anajua hizi habari tafadhari tunaomba maelekzo ya kina. Isije kuwa matapeli wapo kazini na vyuma vilivyokaza hivi!
Mkuu kuna kaukweli kwa mbali. Ila nijuavyo ni hela ambayo pamoja na masharti hayo lazima ujiunge na CCM kama si mwanachama wao.

Nina ushahidi huku Arusha afisa mikopo hiyo amewekwa kiti moto kwa kuwakopesha baadhi ya wanaCHADEMA.

Mikopo hiyo ninayozungumzia imepitia SACCOS kweli lakini kupitia benki ya Equity.

Kwa upande mwingine tusubiri marejesho maana wakopeshwa wa CCM hawana uwezo wala utamaduni wa kurejesha mikopo, rejea mamilioni ya Kikwete.

Halafu usisahau maafisa mikopo wana maslahi humo.

Ujinga wa Awamu hii ni kukosa uchambuzi wa kina wa kuwasaidia wahitaji (walengwa) ili waje na mikakati na mipango ya uwezeshaji thabiti, wamejikita katika ununuzi wa watu ili waonekane wanaungwa mkono.

TUTAONA RANGI ZOTE
 
Mkuu kuna kaukweli kwa mbali. Ila nijuavyo ni hela ambayo pamoja na masharti hayo lazima ujiunge na CCM kama si mwanachama wao.

Nina ushahidi huku Arusha afisa mikopo hiyo amewekwa kiti moto kwa kuwakopesha baadhi ya wanaCHADEMA.

Mikopo hiyo ninayozungumzia imepitia SACCOS kweli lakini kupitia benki ya Equity.

Kwa upande mwingine tusubiri marejesho maana wakopeshwa wa CCM hawana uwezo wala utamaduni wa kurejesha mikopo, rejea mamilioni ya Kikwete.

Halafu usisahau maafisa mikopo wana maslahi humo.

Ujinga wa Awamu hii ni kukosa uchambuzi wa kina wa kuwasaidia wahitaji (walengwa) ili waje na mikakati na mipango ya uwezeshaji thabiti, wamejikita katika ununuzi wa watu ili waonekane wanaungwa mkono.

TUTAONA RANGI ZOTE
Mkuu, afsa mikopo nmembana Sana nulichogundua nae hana anachokijua, zaidi ya kunambia serikali mkoani Tanga imeteua wilaya 3 kama sample yaani Muheza,Pangani na Korogwe kyo tusubiri tuone! Muda ni mwalimu mzuri.
 
Subiri walambe vilaki vyenu ili akili ikae sawa.Hakuna mikopo ya haina hiyo duniani eti kumwaga fedha,Unganeni vijana na muanziashe vikoba then baada ya Mwaka njoo utuletee mrejesho.Watawapiga na mkopo hamtapata na kwa kushtaki hamtapaona,amkaa
 
Mabilioni ya JPM kamwe hayataliwa na watu janja janja.
 
Back
Top Bottom