Subiri walambe vilaki vyenu ili akili ikae sawa.Hakuna mikopo ya haina hiyo duniani eti kumwaga fedha,Unganeni vijana na muanziashe vikoba then baada ya Mwaka njoo utuletee mrejesho.Watawapiga na mkopo hamtapata na kwa kushtaki hamtapaona,amkaa
-Serikali utoa pesa kwa vijana/wamama/wazee sema zinapigwa na wajanja.Ebu nenda serikali za mitaa.ofisi za mkuu wa wilaya au mkoa,wakumbushe zile 6 asilimia.