Serikali ya Uingereza imeondoa umri wa kisheria wa kustaafu, Jee Tanzania iige?

Serikali ya Uingereza imeondoa umri wa kisheria wa kustaafu, Jee Tanzania iige?

Ndachuwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2006
Posts
6,269
Reaction score
4,579
Serikali ya Uingereza imeondoa umri wa kisheria wa kustaafu ili kupunguza malipo yanalipwa na mifuko ya uzeeni.

Nafikiri kwa Tanzania tukiamua kama wao itapunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya watumishi waandamizi serikalini wanaokimbilia vyeo vya kisiasi pindi wanapokaribia umri wa kustaafu. Adhari zake, idadi kubwa ya wahitimu wa vyuo vyetu vikuu itabidi wasubiri sana kupanda vyeo au hata kupata ajira.
 
Ni kwa sababu, Uingereza wazee ni wengi sana ukilinganisha nguvu kazi ya vijana ambao inalazimu walipe kodi kubwa inayotumika kuwatunza.
hapa TZ ni vigumu kufika hapo. Sisi tunamtii Mungu sana Kuzaa na Kuijaza nchi.
 
Back
Top Bottom