Serikali ya Umoja wa Kitaifa.. Nyie mwaonaje?

Serikali ya Umoja wa Kitaifa.. Nyie mwaonaje?

Sandeni

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2013
Posts
666
Reaction score
298
Bado nawaza!
Watanzania watazidi kurubuniwa na sisi wachache mpaka lini?
Hayaa..
Huku kwenye chama tawala tunapeana moyo sana!!

Tunaamini kabisa watanzania watakubali kikatiba tuwe na serikali ya umoja wa kitaifa na hii itatubakiza kwenye ramani.

Mchakato ukikamilika tunaanza kazi,
Aisee naanza kupata nguvu sasa
Ila itanipunguzia ubwerere!

Wapinzani msikatae utaifa.
Mpaka mje mshtuke sisi tutakuwa tushamaliza kwa raia.

Malegendari wa chama tawala tunamawazo makubwa makubwa..hasa kwenye kulinda maslai yetu na familia zetu.
 
Siipatii picha hii serikali itakuwaje..
 
Naipenda serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hili ni moja lakini napata shaka kwa namna ambavyo serikali inashindwa kutatua tofauti na changamoto ndogo ndogo zinazodhoofisha umoja na udugu wetu sisi kama Watanzania tulio wamoja! Tunamhitaji kiongozi atakayetuwezesha kujenga umoja wenye nguvu kwa kuwa Mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe!
 
Naipenda serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hili ni moja lakini napata shaka kwa namna ambavyo serikali inashindwa kutatua tofauti na changamoto ndogo ndogo zinazodhoofisha umoja na udugu wetu sisi kama Watanzania tulio wamoja! Tunamhitaji kiongozi atakayetuwezesha kujenga umoja wenye nguvu kwa kuwa Mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe!

Yaah! mchungaji umenena vyema, na hata walioiba muda mrefu ni wakusamehe tu. tukae meza moja tujenge nchi..safi sana
 
Back
Top Bottom