Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuwa sheria za faragha za (JF) zinaruhusu matumizi ya FAKE ID serikali yetu itaendelea kuwatambua hivyo.KURA ZA WAPIGA KURA WASIOJULIKANA?
FAKE ID
Idumu JF idumuNaunga juhudi✌️✌️✌️
Hili litashughulikiwa na serikali itayoundwaBora hata ungependekeza michango kuinyanyua JF
maana wewe ukijaza buku tu au hata bundle la gwala umeingia na ku surf hujui kuna wanaolipwa mishahara, wapo wanaolipwa kama Wanasheria wa JF, kumeme wa LUKU wa kutunza saver ili uone michango yako ya kila siku, Tusijitafutie Makuu ya kuweka Rais Makamu na Waziri Mkuu wakati hawajui JF inaendeshwaje
Labda magroup ya CHAT nk
Tupe sera zako utaifanyia nini JFMimi nitakuwa Rais nataka kuwa natumbua majipu
Bwana Nick umeshindashinda Stand naona ushakua dereva saivi...!! Aisee.. kweli pata pesa tujue tabia zako.Katika hiyo serikali hakikisha nyumbu kutoka ufipa hawapati nafasi. Ni wanafki na waongo sana
Ili ijae wanagang pekee wasio ipenda hata Jf sio, kama wasivyo penda uhuru wa wengine.Katika hiyo serikali hakikisha nyumbu kutoka ufipa hawapati nafasi. Ni wanafki na waongo sana