Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Katika hatua ambayo integemewa kukuza uchumi kwa kiwango kikubwa kupitia uwekezaji, serikali ya Kenya inatazamiwa kuondoa kodi za Excise na VAT kwa magari yatakayoundwa nchini Kenya.
Kwa sasa hivi Kenya tayari imetoa exemption ya import Duty ya 25% wa magari yanayoingizwa.
Tahadhari kwa Tanzania: Si muda mrefu watanzania wataanza kuagiza magari Kenya kutokana na unafuu wa bei, tusipoiga wenzetu.
Kwa sasa hivi Kenya tayari imetoa exemption ya import Duty ya 25% wa magari yanayoingizwa.
Tahadhari kwa Tanzania: Si muda mrefu watanzania wataanza kuagiza magari Kenya kutokana na unafuu wa bei, tusipoiga wenzetu.
MSN
www.msn.com