Serikali ya Zanzibar dhibitini hawa street boys Forodhani Hotel, mtakosa mapato sana

Serikali ya Zanzibar dhibitini hawa street boys Forodhani Hotel, mtakosa mapato sana

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Nilikuwa wiki mbili Zanzibar niliyaona ni hatari sana kwa heshima ya Tanzania. Forodhani Hotel imejaa wahuni watoto wadogo street boys leo hii wanaona wazungu wamekaa wanaomba kila mtu. Haitoshi wanapigania chakula wanachopewa na wazungu, inahuzunisha sana.

Wakati haya yakiendelea nje ama pembeni ya njia Forodhani zimekaa defender mbili za polisi. Inahuzunsha sana, mbaya zaidi manispaa wako pale kukamata wasiovaa uniform wanaacha wale watoto wakiomba kila mzungu. Hiyo haitoshi hili ndilo limenitisha zaidi, kuna wakati usiku walitishiana wakafikia watoto wadogo wawili kutoa visu. Hili limenitisha sana wapi Zanzibar tunaelekea.

Je ni kweli hawa watoto wa mtaani tumewashindwa kabisa kuwaondoa sehemu yenye utalii? Mnafundisha nini hao watalii wanayoyaona haya?
 
Zanzibar hakuna watoto omba omba, Jamii ya Zanzibari hairuhusu kabisa kitu kama hicho, mtoto akionekama anaomba anaweza kupewa adhabu kali sana na wazee wake..

Hao uliowaona ni wageni, kwani hivi sasa kuna watoto wengi wa kigeni wanauza karanga, machungwa na vitu vyengine barabarani

Video:hivi ndivyo wanavyofanya watoto wa kizanzibari pale Forodhani, hawa watoto wameelezwa vipi walivyo fiti mpaka na vyombo vya habari vya kimataifa kama vile CNN.. angalia video uburudike..
 
Zanzibar hakuna watoto omba omba, Jamii ya Zanzibari hairuhusu kabisa kitu kama hicho, mtoto akionekama anaomba anaweza kupewa adhabu kali sana na wazee wake..

Hao uliowaona ni wageni, kwani hivi sasa kuna watoto wengi wa kigeni wanauza karanga, machungwa na vitu vyengine barabarani

Video:hivi ndivyo wanavyofanya watoto wa kizanzibari pale Forodhani, hawa watoto wameelezwa vipi walivyo fiti mpaka na vyombo vya habari vya kimataifa kama vile CNN.. angalia video uburudike..

U ....AIBU NENDA ZNZ UKIWAKOSA FORODHAN NIPIGIE NIKUPE NAMBA YA WANAOUZA CHAKULA HAPO NA AMBAO WANAWAPIGA WAKIWA WANAO.MBA OMBA SHAME KABISA
 
Zanzibar hakuna watoto omba omba, Jamii ya Zanzibari hairuhusu kabisa kitu kama hicho, mtoto akionekama anaomba anaweza kupewa adhabu kali sana na wazee wake..

Hao uliowaona ni wageni, kwani hivi sasa kuna watoto wengi wa kigeni wanauza karanga, machungwa na vitu vyengine barabarani

Video:hivi ndivyo wanavyofanya watoto wa kizanzibari pale Forodhani, hawa watoto wameelezwa vipi walivyo fiti mpaka na vyombo vya habari vya kimataifa kama vile CNN.. angalia video uburudike..

NENDA ZNZ KAA UWAONE HAOO WATOTO NAWAJUA YRS AGO NAONGELEA WANAOOMBA VYAKULA WATALII NA MBAYA SASA WAMEKUWA WAKINYIMANA VYAKYLA WANATISHIANA VISU ATI
 
MBAYA ZAIDI WANAOKOTA VYAKULA KWENYE MADUBWASHA YA UCHAFU WANAKULA MNAWAFUNDISHA. LAST LAZIMA WAWAPIGE NENGAA USIKUU
 
NENDA ZNZ KAA UWAONE HAOO WATOTO NAWAJUA YRS AGO NAONGELEA WANAOOMBA VYAKULA WATALII NA MBAYA SASA WAMEKUWA WAKINYIMANA VYAKYLA WANATISHIANA VISU ATI
Niko Zanzibar, naishi hapa, Mkuu
 
Unataka watishiane bunduki na mabomu
Visu ndio saizi yao hao watoto waachwe wakue tukutane tena 2020
 
Itasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...

Hivyo Visiwani uhuni na utukutu wanauweza kweli?


Cc: mahondaw
 
Yaani Pdidy leo kaandika vizuri sana ila imefika kwenye comment zake Kiswahili kimepinda
 
Niko Zanzibar, naishi hapa, Mkuu
MKUU CHABUSO
NASHUKURU KAMA UKO ZNZ
NAOMBA PITA JION PALE FORODHAN
ANGALIA WALE VIJANA USIKU WANAOOMBA VYAKULA NA KUOKOTA VYAKULA KWENYE DUBWASHA LA UCHAFU NIJUZE HAO N MOJA YA UTALII WETU AMA
 
Back
Top Bottom