Serikali ya Zanzibar yapiga marufuku "Vipipi" vinavyotumiwa na wanawake kubana uke na kuongeza mvuto

Serikali ya Zanzibar yapiga marufuku "Vipipi" vinavyotumiwa na wanawake kubana uke na kuongeza mvuto

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
Serikali ya Zanzibar kupitia Wakala wa Chakula na Dawa (ZFDA) imemzuia Mfanyabiashara Maryam Shaaban kutoendelea kuuza bidhaa za Lump Sugar maarufu ‘vipipi’ inayodaiwa kutumiwa na Wanawake kujiweka sehemu za siri ili kupata mvuto na kubana maumbile yao.

Pia soma


vipipi.jpg
 
Serikali ya Zanzibar kupitia Wakala wa Chakula na Dawa (ZFDA) imemzuia Mfanyabiashara Maryam Shaaban kutoendelea kuuza bidhaa za Lump Sugar maarufu ‘vipipi’ inayodaiwa kutumiwa na Wanawake kujiweka sehemu za siri ili kupata mvuto na kubana maumbile yao.

Pia soma

kumbe vivipi ni artficial sweetener za mbususu😀😀
 
Kwahiyo wanaviyeyushia kwenye mbususu? Mbona kama wanajitafutia madhara?
 
Huyo bi maryam shaaban kama ana stock ya vipipi namshauri atumie mwenyewe tena avijaze kuanzia ktk tgo mpaka papuch lake huo mnato apate mwenyewe kudadadek
 
Wasalaam

Wadau vipi mnaonaje kauli ya marufuku kama katazo la matumizi ya vipipi vya maboresho na mnogesho wa minyanduo huko Zanzibar je, ni fair kweli? hivi wanatutakia nini sisi wadau wa kuinjoi minyanduo tuendapo popote.

Tujadili na tuiombe mamlaka ifikirie upya maisha bila minyanduo yenye super vybez tutaweza?

Karibu kwa mjadala
 
Walizuia mkongo bara na kupiga marufuku bado wadau tunanunua ,tunauza tunatumia


Sembuse hivyo vipipi
 
Kwenye utelezi hupaswi kuweka vitu vyenye sukari.
Hii haipakwi kule, hii ni pipi una fyonza kama unavyofonza pipi. Nashangaa ni kwa nini serikali imepiga marufuku uuzaji wa pipi hizi hiku nje ya nchi zinauzwa madukani na wala hapakuwepo na concern yeyote, Au labda huko wanawake wanajipaka chini badala ya kufyonza. Pipi jizi zinamfanya mwanamke awe more wet na readu for action tu!
 
Back
Top Bottom