Serikali ya Zimbabwe yataka Whatsap Admins kupata leseni na kulipa ada ya laki moja ili kuendesha magroup ya Whatsap

Serikali ya Zimbabwe yataka Whatsap Admins kupata leseni na kulipa ada ya laki moja ili kuendesha magroup ya Whatsap

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Serikali ya Zimbabwe imetangaza kwamba Admins wa makundi ya WhatsApp yanayofanya kazi ndani ya mipaka ya nchi hiyo sasa wanatakiwa kusajili na kupata leseni kutoka kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Posta na Mawasiliano ya Zimbabwe (POTRAZ).

aDMIN.jpg

kwenye mkutano wa POTRAZ wa hivi karibuni, yanawalazimisha wasimamizi wa makundi ya WhatsApp kulipa ada ya chini ya $50, ambapo gharama zinaweza kufikia hadi US$2,500 kulingana na aina ya kundi linalosimamiwa.

ALL.png


Soma pia: Admin wa group la whatsap naweza kulisimamisha group kwa muda Wanachama wote wasiweze kusoma au kutuma Meseji

Waziri wa Mawasiliano ya Habari, Huduma za Posta na Usafirishaji wa Vifurushi, Tatenda Mavetera, amethibitisha sera hiyo mpya, akisema kwamba wasimamizi wa makundi yote ya WhatsApp wanapaswa kujisajili na POTRAZ na kupata leseni ili waweze kufanya kazi kwa mujibu wa sheria.
 
Kyanzo kya mapato hikyo! Maelfu ya tani za madini ya thamani; mazao ya misitu; wanyama pori; etc yanatoroshwa; ufisadi umetamalaki now wanageukia mapato toka makundi ya WhatsApp! Africa hiyo.
 
Back
Top Bottom