real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Waziri Medard Kalemani ameitaka Tanesco na Songas kuanza kugawana mapato kwa usawa kulingana na mkataba uliopo baina yao. Haya ndio maneno halisi ya waziri.
Ameeleza serikali na TFDL kwa ujumla wana hisa asilimia 36, lazima kuwe na usawa katikaugawaji wa mapato na TANESCO na Songas wanatakiwa wakae kwa pamoja waliangalie kimkataba
Waziri Kalemani aliyasema hayo alipokuwa akikagua mitambo ya ufuaji umeme ya Songas ambapo amekiri hakuna usawa kwenye mgawanyo wa mapato
Pia aliwaambia TANESCO wawe wanatoa taarifa kwa wananchi kipindi wanarekebisha mitambo yao ili kuepusha usumbufu wa umeme kukatika bila watu kuwa na taarifana wanapofanya marekebisho kwenye mtambo mmoja wasizime gridi nzima ya taifa
Jambo lingine amewataka TANESCO wawe na vifaa vya spare ndani ya nchi pindi vinavyoharibika na sio kuagiza nje ya nchi pindi tu vinapoharibika maana inachukua muda
Chanzo: Azam Tv
Ameeleza serikali na TFDL kwa ujumla wana hisa asilimia 36, lazima kuwe na usawa katikaugawaji wa mapato na TANESCO na Songas wanatakiwa wakae kwa pamoja waliangalie kimkataba
Waziri Kalemani aliyasema hayo alipokuwa akikagua mitambo ya ufuaji umeme ya Songas ambapo amekiri hakuna usawa kwenye mgawanyo wa mapato
Pia aliwaambia TANESCO wawe wanatoa taarifa kwa wananchi kipindi wanarekebisha mitambo yao ili kuepusha usumbufu wa umeme kukatika bila watu kuwa na taarifana wanapofanya marekebisho kwenye mtambo mmoja wasizime gridi nzima ya taifa
Jambo lingine amewataka TANESCO wawe na vifaa vya spare ndani ya nchi pindi vinavyoharibika na sio kuagiza nje ya nchi pindi tu vinapoharibika maana inachukua muda
Chanzo: Azam Tv