Serikali yaagiza vyombo vya habari vya mitandaoni kuwa na vibali kabla ya Oktoba 05

Serikali yaagiza vyombo vya habari vya mitandaoni kuwa na vibali kabla ya Oktoba 05

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mamlaka ya Mawasiliano (UCC) imeagiza wanaotoa au wenye nia ya kutoa maudhui kupitia televisheni, redio za mtandaoni, blogu na majukwaa mengine mtandaoni kuwa kibali na Serikali
-
Wahusika wametakiwa kujiandikisha UCC hadi kufikia Oktoba 05, 2020. Sehemu ya notisi iliyotolewa na Mamlaka hiyo imesema wanakusudia kukuza na kulinda maslahi ya wateja, waendeshaji, watazamaji na wasikilizaji
-
Wakosoaji wanasema agizo hilo linalenga kunyamazisha vyombo vya habari wakati Uganda inajiandaa na Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mapema mwaka 2021

1599562035050.png
 
Duh nilishangaa UCC badala ya TCRA kumbe ni mambo ya Uganda!!! Kuna mtu ataiga hii mark my words!
 
Duh nilishangaa UCC badala ya TCRA kumbe ni mambo ya Uganda!!! Kuna mtu ataiga hii mark my words!
Utaogopa mpaka kivuli chako.

Acha kuharibu thread kwa kujadili mada nje ya mada
 
Back
Top Bottom