Serikali yaahirisha Utekelezaji wa Mtaala Ulioboreshwa wa Kidato cha Tano Mwaka wa Masomo 2024/2025

Serikali yaahirisha Utekelezaji wa Mtaala Ulioboreshwa wa Kidato cha Tano Mwaka wa Masomo 2024/2025

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
tamisemi.jpg


Yah: KUAHIRISHA UTEKELEZAJI WA MTAALA ULIOBORESHWA WA KIDATO CHA TANO MWAKA WA MASOMO 2024/2025

Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (WyEST) ilipokea barua yenye Kumb. Na DC.297/507/01/370 ya tarehe 09/7/2024 kutoka OR-TAMISEMI kuhusu changamoto zilizopo katika utekelezaji wa Mtaala Ulioboreshwa wa Kidato cha Tano ulioanza kutekelezwa tarehe 01/07/2024 na kushauri kwamba utekelezaji huo uahirishwe ili uanze mwaka 2025. Aidha, taarifa ya kikaokazi cha pamoja kati ya WyEST na OR-TAMISEMI kilinaini kuwa chnangamoto zilizopo ni ukosefu wa nakala ngumu za vitabu kwa matumizi ya wanafunzi na walimu na utoaji wa mafunzo kabilishi kwa walimu.

Kufuatilia ombi hilo, WyEST kupitia barua yenye Kumb. Na. AC. 128/191/01D/99 ya tarehe 22/7/2024 kwenda Ofisi ya Rais – TAMISEMI iliridhia kuahirishwa kwa utekelezaji wa Mtaala Ulioboreshwa wa Kidato cha Tano kwa mwaka 2024 ili uanze kutekelezwa mwaka 2025 baada ya changamoto hizo kutatuliwa.

Hivyo, WyEST inashauri kwamba, utekelezaji wa mtaala husika kwa upande wa Zanzibar uahirishwe kwa sababu utahini wa wanafunzi wa Sekondari ya juu (A-Level) kati Tanzania Bara na Zanzibar hutumia mtihani mmoja

Nashukuru kwa ushirikiano wako

Pro. Carolyne I. Nombo
KATIBU MKUU

Pia soma
 
View attachment 3052516

Yah: KUAHIRISHA UTEKELEZAJI WA MTAALA ULIOBORESHWA WA KIDATO CHA TANO MWAKA WA MASOMO 2024/2025

Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (WyEST) ilipokea barua yenye Kumb. Na DC.297/507/01/370 ya tarehe 09/7/2024 kutoka OR-TAMISEMI kuhusu changamoto zilizopo katika utekelezaji wa Mtaala Ulioboreshwa wa Kidato cha Tano ulioanza kutekelezwa tarehe 01/07/2024 na kushauri kwamba utekelezaji huo uahirishwe ili uanze mwaka 2025. Aidha, taarifa ya kikaokazi cha pamoja kati ya WyEST na OR-TAMISEMI kilinaini kuwa chnangamoto zilizopo ni ukosefu wa nakala ngumu za vitabu kwa matumizi ya wanafunzi na walimu na utoaji wa mafunzo kabilishi kwa walimu.

Kufuatilia ombi hilo, WyEST kupitia barua yenye Kumb. Na. AC. 128/191/01D/99 ya tarehe 22/7/2024 kwenda Ofisi ya Rais – TAMISEMI iliridhia kuahirishwa kwa utekelezaji wa Mtaala Ulioboreshwa wa Kidato cha Tano kwa mwaka 2024 ili uanze kutekelezwa mwaka 2025 baada ya changamoto hizo kutatuliwa.

Hivyo, WyEST inashauri kwamba, utekelezaji wa mtaala husika kwa upande wa Zanzibar uahirishwe kwa sababu utahini wa wanafunzi wa Sekondari ya juu (A-Level) kati Tanzania Bara na Zanzibar hutumia mtihani mmoja

Nashukuru kwa ushirikiano wako

Pro. Carolyne I. Nombo
KATIBU MKUU

Pia soma
Mnawachelewesha wenzenu muda wa kusoma ilmu ya mbinguni.
 
Nchi ya Ukurupukaji, viongozi wakurupukaji, wanajifanyiaga mambo kwa kufuata upepo tu, tabu tupu.
 
Back
Top Bottom