Serikali yaeleza sababu ya daraja la juu VETA kupinda

Serikali yaeleza sababu ya daraja la juu VETA kupinda

Donnie Charlie

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2009
Posts
16,908
Reaction score
19,123
Dar es Salaam. Serikali imefafanua kuhusu kupinda kwa daraja la juu la makutano ya barabara za Nyerere na Kawawa eneo la taa za Veta - Chang'ombe ikisema limejengwa hivyo kutokana na usanifu wake.

Akizungumza leo Novemba 15 wakati wa ziara ya Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, Meneja wa ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Barakael Mmari amesema kumekuwa na maneno kwamba daraja hilo limepinda na haliko katika viwango vinavyohitajika.

Ameendelea kusema kuwa, daraja hilo halionekani limenyooka moja kwa moja kama yaliyo mengine kutokana na usanifu uliobuniwa.

"Hili limesanifiwa hivi kwa sababu maalumu, daraja lina njia mbili na limejengwa katika maeneo mawili tofauti na upande wa katikati itajengwa barabara ya mabasi ya mwendokasi.

"Upande wa kushoto kama unaelekea uwanja wa ndege ni magari yanatoka mjini kuelekea huko na upande wa kulia ni magari yanayotoka uwanja wa ndege kwenda mjini," amesema Mmari.

Amesema pia kutakuwa na mabasi yanayotoka moja kwa moja uwanja wa ndege kwenda mjini na kutoka mjini kwenda uelekeo wa uwanja wa ndege.

Pia amesema kutakuwa na mabasi yanayotoka uwanja wa ndege kwenda Chang' ombe au Magomeni.

"Kwa maana hiyo hapa katika daraja limekuja na njia mbili ili kupata magari yanayokwenda kushoto na kulia, tumetengeneza njia za ziada zitakazosaidia kuwezesha mpishano wa magari yanayokwenda kushoto na kulia.

"Huu mpindo unaonekana umefanywa hivyo ili kupata nafasi pale chini na kuleta ufanisi wa mabasi yatakayopita," amesema Mmari.

Akizungumzia sula hilo, Waziri Mbarawa amesema, "Kuna mtu ameandika limepinda limepinda... Mambo ya kitaalamu yanakwenda kitalaamu, daraja halijapinda isipokuwa usanifu maalumu umetengenezwa ili kuwezesha njia nyingine za mabasi," amesema Profesa Mbarawa.

Mwanainchi.
 
Serikali imefafanua kuhusu kupinda kwa daraja la juu la makutano ya barabara za Nyerere na Kawawa eneo la taa za Veta - Chang'ombe ikisema limejengwa hivyo kutokana na usanifu wake.

Akizungumza leo Novemba 15 wakati wa ziara ya Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, Meneja wa ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka (BRT) kutoka Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Barakael Mmari amesema kumekuwa na maneno kwamba daraja hilo limepinda na haliko katika viwango vinavyohitajika.

Ameendelea kusema kuwa, daraja hilo halionekani limenyooka moja kwa moja kama yaliyo mengine kutokana na usanifu uliobuniwa.

"Hili limesanifiwa hivi kwa sababu maalumu, daraja lina njia mbili na limejengwa katika maeneo mawili tofauti na upande wa katikati itajengwa barabara ya mabasi yaendayo haraka.

"Upande wa kushoto kama unaelekea uwanja wa ndege ni magari yanatoka mjini kuelekea huko na upande wa kulia ni magari yanayotoka uwanja wa ndege kwenda mjini na katikati kutakuwa na njia za kupita BRT," amesema Mmari.

Amesema pia kutakuwa na mabasi yanayotoka moja kwa moja uwanja wa ndege kwenda mjini na kutoka mjini kwenda uelekeo wa uwanja wa ndege.

Pia amesema kutakuwa na mabasi yanayotoka uwanja wa ndege kwenda Chang' ombe au Magomeni.

"Kwa maana hiyo hapa katikati daraja limekuja na njia mbili ili kupata magari yanayokwenda kushoto na kulia, tumetengeneza njia za ziada zitakazosaidia kuwezesha mpishano wa magari yanayokwenda kushoto na kulia.

"Huu mpindo unaonekana umefanywa hivyo ili kupata nafasi pale chini na kuleta ufanisi wa mabasi yatakayopita," amesema Mmari.

Akizungumzia sula hilo, Waziri Mbarawa amesema, "Kuna mtu ameandika limepinda limepinda... Mambo ya kitaalamu yanakwenda kitalaamu, daraja halijapinda isipokuwa usanifu maalumu umetengenezwa ili kuwezesha njia nyingine za mabasi," amesema Profesa Mbarawa

MWANANCHI
 
Taarifa hii bila picha ya hilo daraja hatuwezi kuelewa.
 
Bila picha hamna uzi! Trust me! Wengine hua hatusomagi kwanza tuna scroll kwanza kukutana na picha! Picha hua zinaongea sana kuliko hizi bla bla zingine
 
Kama in kweli namna hilo daraja lilivyo ndiyo ramani yake,basi waliopitisha huo usanifu hawajielewi na hawasitahili kupewa nafasi yeyote kusimamia miradi ya umma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mie mkazi wa Buchundwakende karibu kabisa na iponymakarai Geita mjini, hii habari bila picha, Naona mapicha picha.
 
Mbona la Tazara halipo hivyo, limepinda halafu pia lipo upande.
 
Fununu zilianza hivi hivi kwenye Teri, mapya sio mapya, Mara vichwa vipya mabehewa ya zamani, ikaja vile vichwa vya mchongoko ni high speed za safari fupi fupi za town. Hi zetu ndio zenyewe super havi dyuti, juzi juzi nasikia mkurugenzi anakiri ni used.

Sasa kwenye daraja waseme Moja na msimamo wao uwe huo huo usiyumbeyumbe.
 
Dar es Salaam. Serikali imefafanua kuhusu kupinda kwa daraja la juu la makutano ya barabara za Nyerere na Kawawa eneo la taa za Veta - Chang'ombe ikisema limejengwa hivyo kutokana na usanifu wake.

Akizungumza leo Novemba 15 wakati wa ziara ya Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, Meneja wa ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Barakael Mmari amesema kumekuwa na maneno kwamba daraja hilo limepinda na haliko katika viwango vinavyohitajika.

Ameendelea kusema kuwa, daraja hilo halionekani limenyooka moja kwa moja kama yaliyo mengine kutokana na usanifu uliobuniwa.

"Hili limesanifiwa hivi kwa sababu maalumu, daraja lina njia mbili na limejengwa katika maeneo mawili tofauti na upande wa katikati itajengwa barabara ya mabasi ya mwendokasi.

"Upande wa kushoto kama unaelekea uwanja wa ndege ni magari yanatoka mjini kuelekea huko na upande wa kulia ni magari yanayotoka uwanja wa ndege kwenda mjini," amesema Mmari.

Amesema pia kutakuwa na mabasi yanayotoka moja kwa moja uwanja wa ndege kwenda mjini na kutoka mjini kwenda uelekeo wa uwanja wa ndege.

Pia amesema kutakuwa na mabasi yanayotoka uwanja wa ndege kwenda Chang' ombe au Magomeni.

"Kwa maana hiyo hapa katika daraja limekuja na njia mbili ili kupata magari yanayokwenda kushoto na kulia, tumetengeneza njia za ziada zitakazosaidia kuwezesha mpishano wa magari yanayokwenda kushoto na kulia.

"Huu mpindo unaonekana umefanywa hivyo ili kupata nafasi pale chini na kuleta ufanisi wa mabasi yatakayopita," amesema Mmari.

Akizungumzia sula hilo, Waziri Mbarawa amesema, "Kuna mtu ameandika limepinda limepinda... Mambo ya kitaalamu yanakwenda kitalaamu, daraja halijapinda isipokuwa usanifu maalumu umetengenezwa ili kuwezesha njia nyingine za mabasi," amesema Profesa Mbarawa.

Mwanainchi.
...Mmemuelewa ?....
 
Dar es Salaam. Serikali imefafanua kuhusu kupinda kwa daraja la juu la makutano ya barabara za Nyerere na Kawawa eneo la taa za Veta - Chang'ombe ikisema limejengwa hivyo kutokana na usanifu wake.

Akizungumza leo Novemba 15 wakati wa ziara ya Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, Meneja wa ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Barakael Mmari amesema kumekuwa na maneno kwamba daraja hilo limepinda na haliko katika viwango vinavyohitajika.

Ameendelea kusema kuwa, daraja hilo halionekani limenyooka moja kwa moja kama yaliyo mengine kutokana na usanifu uliobuniwa.

"Hili limesanifiwa hivi kwa sababu maalumu, daraja lina njia mbili na limejengwa katika maeneo mawili tofauti na upande wa katikati itajengwa barabara ya mabasi ya mwendokasi.

"Upande wa kushoto kama unaelekea uwanja wa ndege ni magari yanatoka mjini kuelekea huko na upande wa kulia ni magari yanayotoka uwanja wa ndege kwenda mjini," amesema Mmari.

Amesema pia kutakuwa na mabasi yanayotoka moja kwa moja uwanja wa ndege kwenda mjini na kutoka mjini kwenda uelekeo wa uwanja wa ndege.

Pia amesema kutakuwa na mabasi yanayotoka uwanja wa ndege kwenda Chang' ombe au Magomeni.

"Kwa maana hiyo hapa katika daraja limekuja na njia mbili ili kupata magari yanayokwenda kushoto na kulia, tumetengeneza njia za ziada zitakazosaidia kuwezesha mpishano wa magari yanayokwenda kushoto na kulia.

"Huu mpindo unaonekana umefanywa hivyo ili kupata nafasi pale chini na kuleta ufanisi wa mabasi yatakayopita," amesema Mmari.

Akizungumzia sula hilo, Waziri Mbarawa amesema, "Kuna mtu ameandika limepinda limepinda... Mambo ya kitaalamu yanakwenda kitalaamu, daraja halijapinda isipokuwa usanifu maalumu umetengenezwa ili kuwezesha njia nyingine za mabasi," amesema Profesa Mbarawa.

Mwanainchi.
Hakika limepinda nililiona Hilo siku nyingi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Dar es Salaam. Serikali imefafanua kuhusu kupinda kwa daraja la juu la makutano ya barabara za Nyerere na Kawawa eneo la taa za Veta - Chang'ombe ikisema limejengwa hivyo kutokana na usanifu wake.

Akizungumza leo Novemba 15 wakati wa ziara ya Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, Meneja wa ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Barakael Mmari amesema kumekuwa na maneno kwamba daraja hilo limepinda na haliko katika viwango vinavyohitajika.

Ameendelea kusema kuwa, daraja hilo halionekani limenyooka moja kwa moja kama yaliyo mengine kutokana na usanifu uliobuniwa.

"Hili limesanifiwa hivi kwa sababu maalumu, daraja lina njia mbili na limejengwa katika maeneo mawili tofauti na upande wa katikati itajengwa barabara ya mabasi ya mwendokasi.

"Upande wa kushoto kama unaelekea uwanja wa ndege ni magari yanatoka mjini kuelekea huko na upande wa kulia ni magari yanayotoka uwanja wa ndege kwenda mjini," amesema Mmari.

Amesema pia kutakuwa na mabasi yanayotoka moja kwa moja uwanja wa ndege kwenda mjini na kutoka mjini kwenda uelekeo wa uwanja wa ndege.

Pia amesema kutakuwa na mabasi yanayotoka uwanja wa ndege kwenda Chang' ombe au Magomeni.

"Kwa maana hiyo hapa katika daraja limekuja na njia mbili ili kupata magari yanayokwenda kushoto na kulia, tumetengeneza njia za ziada zitakazosaidia kuwezesha mpishano wa magari yanayokwenda kushoto na kulia.

"Huu mpindo unaonekana umefanywa hivyo ili kupata nafasi pale chini na kuleta ufanisi wa mabasi yatakayopita," amesema Mmari.

Akizungumzia sula hilo, Waziri Mbarawa amesema, "Kuna mtu ameandika limepinda limepinda... Mambo ya kitaalamu yanakwenda kitalaamu, daraja halijapinda isipokuwa usanifu maalumu umetengenezwa ili kuwezesha njia nyingine za mabasi," amesema Profesa Mbarawa.

Mwanainchi.
Mambovya Expansion Joint yamerudi tena .
 
Back
Top Bottom