Serikali yafuta ada ya Mitihani kwa watahiniwa wa shule za Serikali

Serikali yafuta ada ya Mitihani kwa watahiniwa wa shule za Serikali

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Taarifa iliyotolewa na Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) imesema watahiniwa wa Darasa la 7, Kidato cha 4 na 6 kutoka shule za Serikali hawatolipa ada hizo kuanzia sasa.

Hata hivyo Baraza limesema ada hizo zitaendelea kulipwa na wanafunzi wa shule za binafsi.

1663212180304.png
 
Mnafurahi kufutwa kwa hizo ada? Badala yake inaletwa Tozo ya aina nyjngine halafu mnaanza kulalamika.

Ilitangazwa elimu bure, gharama za maisha zikapanda hasa upande wa matibabu.
Sasa na hii, sijui nini kitatokea.
 
Mbona haya mambo yapo toka zamani (elimu bure) Kwani kuna watu walikuwa wanalipa.

Hizi janja janja tu msitufanye wajinga.

Mnataka kuonesha umuhimu wa tozo wakati hapo nyuma tozo hazikuwepo na bado hiyo gharama haikuwapo
 
Back
Top Bottom