Serikali yafuta ada ya Mitihani kwa watahiniwa wa shule za Serikali

Mnafurahi kufutwa kwa hizo ada? Badala yake inaletwa Tozo ya aina nyjngine halafu mnaanza kulalamika.

Ilitangazwa elimu bure, gharama za maisha zikapanda hasa upande wa matibabu.
Sasa na hii, sijui nini kitatokea.
 
Mbona haya mambo yapo toka zamani (elimu bure) Kwani kuna watu walikuwa wanalipa.

Hizi janja janja tu msitufanye wajinga.

Mnataka kuonesha umuhimu wa tozo wakati hapo nyuma tozo hazikuwepo na bado hiyo gharama haikuwapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…