am a teacher but waalimu mnatia aibu ninyi peke yenu ndo mmehitimu chuo mwaka jana? hamtumii hata akili ndogo ya general study mlosoma pasipokuwa na fedha mtaenda lipwa nini?
kumbuken serikali ina katiba mpya, uchaguzi, yote haya ni pesa na waalimu kuwaajiri lazima wajipange maana field ina utitir wa watu wengi fedha ni nyingi.
tcu guide book iliandika loan priority na sio employment priority