Serikali yafyata kwa Dowans

GM7

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2009
Posts
492
Reaction score
24

Source: Tanzania Daima - Sauti ya Watu
 
Who is the government and who is Dowans?! Kwa nini wanaogopa kushambuliwa kama wanafanya jambo la maana! something fishy here! Hii mitambo si tuliikataa! Hiyo nguvu ya kutaka ku-lazimisha mitambo inunuliwae inatoka kwa nani hasa! Why Dowans anyway!
Hatutaki kununua mali za wizi sisi! Hiyo mitambo waichukue wakawashe umeme majumbani kwao!
 
Tulishasema hapa JF kitambo sana kwamba mitambo hiyo kwa njia moja au nyingine
itanunuliwa tu. Nani atakubali Rostum ale hasara? Halafu kumbuka huu ni mwaka wa uchaguzi. CCM wataenda wapi kuchota EPA nyingine?
 
Pesa ya kampeni hiyo,

lakini nini jipya hapa? mlitegemea kitu tafauti?
 
Pesa ya kampeni hiyo,

lakini nini jipya hapa? mlitegemea kitu tafauti?

Mkuu i knew it, tulianza na kesi ya Ditopile tulisema ameua bila kukusidia, that was it. "justice" was done. Tukaja na EPA tukasema tutawafikisha mahakamani, na tukazuga kwa kuwaweka kina Mramba na Yona rumande na kesi nyingine zimeiva hivi karibuni tutawafikisha mahakamani....that was it, tukaanza kuhalalisha ujinga wetu wa IPTL na kuanza kununua umeme wao....tukathibitisha ya Julius a.k.a Nyani Ngabu (ndivyo tulivyo), tukafunga mjadala wa Richmond kimya kimya kama vile haupo na kama vile hatukuibiwa pesa...., na sasa tuko Dowans....come October 2010, kila kitu kitakuwa kimefunikwa na tutakuwa tunapita. Who will be the loser?? Tanzania, Tanzanians and that will go on and on.
 
Halafu sijui huo mradi wa 132KV kutoka Ubungo hadi Makumbusho wataunganisha na mitambo hiyo au itakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…