Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Jioni hii serikali imeuandikia rasmi uongozi wa YANGA Afrika uamuzi wa kuipatia timu hiyo uwanja mpya wa Taifa kama uwanja wao wa nyumbani...hatua hiyo inakuja baada ya SIMBA ambayo nayo iliwasilisha ombi lake kutupwa....hata baada ya wasimamizi wa uwanja wa TAIFA kusema kuwa uwanja unaweza kutumika mara mbili kwa wiki ...hatua ambayo ingewezesha timu zote mbili...kuweza kutumia uwanja huo kama uwanja wake wa nyumbani....Yanga ni moja ya timu zenye washabiki wengi ...sana akiwamo rais kikwete ...na ingeweza kucheza sehemu yeyote Tanzania kama ilivyo kwa simba....
KITENDO CHA SERIKALI KUIPENDELEA YANGA KINAWEZA KUTAFSIRIWA KWA MAANA...NYINGI KAMA MUENDELEZO TU WA YALE AMBAYO YAMEKUWA YAKIONGELEWA ....KWA WATU WALIO KARIBU NA RAIS KUTUMIA MAMLAKA NA RASILIMALI ZA NCHI VIBAYA...
KITENDO CHA SERIKALI KUIPENDELEA YANGA KINAWEZA KUTAFSIRIWA KWA MAANA...NYINGI KAMA MUENDELEZO TU WA YALE AMBAYO YAMEKUWA YAKIONGELEWA ....KWA WATU WALIO KARIBU NA RAIS KUTUMIA MAMLAKA NA RASILIMALI ZA NCHI VIBAYA...