Serikali yaipa yanga uwanja mpya wa taifa kuwa home ground...wanasimba tugomee ligi!.

Serikali yaipa yanga uwanja mpya wa taifa kuwa home ground...wanasimba tugomee ligi!.

Phillemon Mikael

Platinum Member
Joined
Nov 5, 2006
Posts
10,557
Reaction score
8,673
Jioni hii serikali imeuandikia rasmi uongozi wa YANGA Afrika uamuzi wa kuipatia timu hiyo uwanja mpya wa Taifa kama uwanja wao wa nyumbani...hatua hiyo inakuja baada ya SIMBA ambayo nayo iliwasilisha ombi lake kutupwa....hata baada ya wasimamizi wa uwanja wa TAIFA kusema kuwa uwanja unaweza kutumika mara mbili kwa wiki ...hatua ambayo ingewezesha timu zote mbili...kuweza kutumia uwanja huo kama uwanja wake wa nyumbani....Yanga ni moja ya timu zenye washabiki wengi ...sana akiwamo rais kikwete ...na ingeweza kucheza sehemu yeyote Tanzania kama ilivyo kwa simba....

KITENDO CHA SERIKALI KUIPENDELEA YANGA KINAWEZA KUTAFSIRIWA KWA MAANA...NYINGI KAMA MUENDELEZO TU WA YALE AMBAYO YAMEKUWA YAKIONGELEWA ....KWA WATU WALIO KARIBU NA RAIS KUTUMIA MAMLAKA NA RASILIMALI ZA NCHI VIBAYA...
 
wizara ya michezo wa babaishaji ndiyo maana Bandera kasha tutwa nje anajipendekeza kwa mara ya mwisho mwisho..
 
Why yanga na si timu zote. Mimi nadhani kuna watu wanatakiwa wakapimwe akili
 
Kwa kifupi hatuna bodi imara ya michezo!! pamoja na hayo sidhani kama tunajua nini tunafanya kwenye michezo..soka la bongo limejaa uzandiki mtupu...
 
Simba hatuna wa kumlaumu sie wenyewe tuma mua kwenda mwanza
 
Jioni hii serikali imeuandikia rasmi uongozi wa YANGA Afrika uamuzi wa kuipatia timu hiyo uwanja mpya wa Taifa kama uwanja wao wa nyumbani...hatua hiyo inakuja baada ya SIMBA ambayo nayo iliwasilisha ombi lake kutupwa....hata baada ya wasimamizi wa uwanja wa TAIFA kusema kuwa uwanja unaweza kutumika mara mbili kwa wiki ...hatua ambayo ingewezesha timu zote mbili...kuweza kutumia uwanja huo kama uwanja wake wa nyumbani....Yanga ni moja ya timu zenye washabiki wengi ...sana akiwamo rais kikwete ...na ingeweza kucheza sehemu yeyote Tanzania kama ilivyo kwa simba....

KITENDO CHA SERIKALI KUIPENDELEA YANGA KINAWEZA KUTAFSIRIWA KWA MAANA...NYINGI KAMA MUENDELEZO TU WA YALE AMBAYO YAMEKUWA YAKIONGELEWA ....KWA WATU WALIO KARIBU NA RAIS KUTUMIA MAMLAKA NA RASILIMALI ZA NCHI VIBAYA...

Kwani simba inacheza ligi kuu pia? mie ninavyojua Simba ipo kwenye Div.3 na yanga ipo div.1
 
Kwani simba inacheza ligi kuu pia? mie ninavyojua Simba ipo kwenye Div.3 na yanga ipo div.1

Unatokea wapi wewe? Simba inacheza ligi Kuu na ndo mabingwa bila hata kupoteza mchezo wowote,na katika ubingwa huo walikusanya points zote sita kutoka kwa yanga na magoli lukuki yaani tulivuna goli tano(Hamza) kutoka kwa yanga. Hakuna sababu ya kugoma hii tuichukue kama changamoto,tufumbuke na tuanze mikakati ya kuwa na uwanja wetu. Hagomi mtu!!
 
We hujui Yanga ni CCM?
Usiipigie kura CCM
Jioni hii serikali imeuandikia rasmi uongozi wa YANGA Afrika uamuzi wa kuipatia timu hiyo uwanja mpya wa Taifa kama uwanja wao wa nyumbani...hatua hiyo inakuja baada ya SIMBA ambayo nayo iliwasilisha ombi lake kutupwa....hata baada ya wasimamizi wa uwanja wa TAIFA kusema kuwa uwanja unaweza kutumika mara mbili kwa wiki ...hatua ambayo ingewezesha timu zote mbili...kuweza kutumia uwanja huo kama uwanja wake wa nyumbani....Yanga ni moja ya timu zenye washabiki wengi ...sana akiwamo rais kikwete ...na ingeweza kucheza sehemu yeyote Tanzania kama ilivyo kwa simba....

KITENDO CHA SERIKALI KUIPENDELEA YANGA KINAWEZA KUTAFSIRIWA KWA MAANA...NYINGI KAMA MUENDELEZO TU WA YALE AMBAYO YAMEKUWA YAKIONGELEWA ....KWA WATU WALIO KARIBU NA RAIS KUTUMIA MAMLAKA NA RASILIMALI ZA NCHI VIBAYA...
 
Back
Top Bottom