Serikali yaipongeza Bakwata kwa kuanzisha Bakwata Online Academy

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri wa Utumishi mh Mchengerwa amesema serikali inaipongeza Bakwata kwa kutia mafunzo ya uongozi kwa waumini wake kwa njia ya Tehama iitwayo Bakwata Online Academy

Kadhalika Mchengerwa ameimba wananchi kuendelea kuwaombea viongozi wa serikali wakati wote.

Chanzo: Channel ten
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…