Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Katibu Mkuu amezindua na kukabidhi magari hayo Oktoba 2, 2024 katika Makao Makuu ya Jeshi la Magereza Msalato jijini Dodoma huku akiwasihi vyombo hivyo vikaongeze ufanisi katika shughuli mbalimbali za magereza na urakibu.
Magari hayo yana gharama ya Shilingi Za Kitanzania Bilioni 2.25.