Serikali yakabidhi gari la kubebea wagonjwa, litatoa huduma kwa wafungwa na mahabusu

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Your browser is not able to display this video.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Senga Gugu leo amezindua na kukabidhi jumla ya magari 11 huku gari moja likiwa ni Gari la Kubebea Wagonjwa ambapo pia gari hilo litataoa huduma kwa wafungwa na mahabusu katika gereza la Ukonga na Magereza ya karibu.

Katibu Mkuu amezindua na kukabidhi magari hayo Oktoba 2, 2024 katika Makao Makuu ya Jeshi la Magereza Msalato jijini Dodoma huku akiwasihi vyombo hivyo vikaongeze ufanisi katika shughuli mbalimbali za magereza na urakibu.

Magari hayo yana gharama ya Shilingi Za Kitanzania Bilioni 2.25.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…