blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,278
- 7,966
Kwani nyie mapolisi mnavyo taka kulazimisha watu wawe magaidi mnategemea niniChanjo ya majaribio?? Majaribio ya chanjo hii yalikwisha hata bado hujaambiwa inakuja. Ujinga ndio tatizo kuu la nchi hii. Kama wewe hapa unasambaza taarifa potovu na chuki ndani yake. Haya, tuseme polisi wawe mazombi - wewe au taifa hili litafaidika vipi??
Jielimishe na pata ufahamu wa mambo kabla hujafanya uharibifu kwenye jamii. Acha alama chanya katika dunia hii - ujinga na chuki nenda navyo kaburini.
Mkuu mimi siwezi kuchoma hiyo chanjo, ni bora niache kazi tuTutaanza na madaktari wote nchini pamoja na wasaidizi wao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena mganga wa jadiWatanzania waliharibiwa na mganga wao JPM. Wanadhani chanjo itatuua.
Chanjo ndio njia pekee ya kupunguza maambukizi ya covid-19 kwa haraka.
Jiandae kuacha mwingine atachukua hiyo nafasiMkuu mimi siwezi kuchoma hiyo chanjo, ni bora niache kazi tu
Na vyombo vya ulinz na usalama, wanafunzi wa vyuo, Msingi na secondary,Tutaanza na madaktari wote nchini pamoja na wasaidizi wao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kabisa, wange -mix kwenye bia tu, kiulaiiini !SIO KWELI, kama hitaji kuu ni kuua watu. Kuna njia nyingi mbadala zingefanyika tena kwa ueledi wa hali ya juu bila watu kupiga kelele hivi. Chanjo ni muhimu sana!!
Huenda mtaanza na wenye kadi za chamaDar es Salaam. Baada ya chanjo ya Covid-19 kuwasili nchini Serikali imejiweka lengo la kuwachanja asilimia 60 ya Watanzania wote.
Waziri wa Afya, Dk Doroth Gwajima amesema awamu ya kwanza ya chanzo hiyo itatolewa kwa makundi ya mstari wa mbele ambayo yatawekwa wazi siku ya kesho...
Si ndio hao waliomstari wa mbele au?Chanjo ya majaribio ianze kwa mapolisi kwanza wageuke mazombi
Usihofu. Washasema ni hiari.Wanataka kutuua
Kabla ya yote tutaanza na madaktari wanaotoa huduma ya afya kwa wengineNa vyombo vya ulinz na usalama, wanafunzi wa vyuo, Msingi na secondary,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa ua kwa corona au kwa chanjo? maana umeshaambiwa ni hiyari:kama ilivyo kwa chanjo zote hapa TZ,mfano Homa ya manjano,Hepatitis B,ile ya kansa ya kizazi kwa mabinti.Hutashikiwa kisu,Im sure ikifika unauhitajita utaitafuta mwenyewe tu.Wanataka kutuua
Wacha tuendelee kuzikana,Ulaya walileta nyodo za hivyo hivyo,walivyoanza kupukutika walizitafuta wenyewe hizo chanjo.Chanjo hamtaki.na wala hamsemi tutumie nini ili Corona isitumalize. Watanzania mmeshindikana.
Vp upo tayari tukudunge tako.niHuiogopi Corona unaiogopa chanjo?! haya maajabu yako Tz pekee.
Sayansi si SIASA.Dar es Salaam. Baada ya chanjo ya Covid-19 kuwasili nchini Serikali imejiweka lengo la kuwachanja asilimia 60 ya Watanzania wote.
Waziri wa Afya, Dk Doroth Gwajima amesema awamu ya kwanza ya chanzo hiyo itatolewa kwa makundi ya mstari wa mbele ambayo yatawekwa wazi siku ya kesho...
Jana tumemuona Prof.Lipumba akiwa ameinua mkono wa T-SHIRT bega juu na PLASTA.....Vp upo tayari tukudunge tako.ni
au bado unajiuliza?