Serikali yalalamika kutumia Bilioni 200 kwa kununua vifaa vya kujifungilia wajawazito

Serikali yalalamika kutumia Bilioni 200 kwa kununua vifaa vya kujifungilia wajawazito

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Kauli hii imetolewa bungeni na naibu waziri wa afya Bwana Moleli. Amesema serikali imekuwa ikitumia kiasi kikubwa Cha pesa kugharamia wajawazito. Hii imekuja wakati baadhi ya wabunge walipotaka kujua ni upo msimamo wa serikali dhidi ya kauli za baadhi ya viongozi kwa wananchi hasa wajawazito.

My take: Rasimi serikali imeamua kujitoa ufahamu na kukaa upande wa watesi wetu. Hivi billion 227 serikali inaona ni pesa nyingi za kushindwa kuhudumia wizara ya afya? Yale mabilioni ya kuwalipa wasanii waliokwenda Korea kujifunza filamu nani aliyaidhinisha?

Zile pesa za kugharamia safari za wasanii kwenye Kila kikao Cha chama nani ameidhinisha? Yale mabilioni ya pesa aliyochukua Bashe kwa kisingizio Cha BBT nani ameyakagua na kuifhinisha? Zile pesa za bakishishi kwa timu za simba na yanga maarufu kama goli la mama nani ameidhinisha? Ile milioni 700 walizopewa wachezaji wa timu ya taifa nani aliidhinisha?

Kwanini tunakuwa kama tumechanganyikiwa ?

Soma: Mbunge ahoji kauli ya serikali kuhusu wanawake wanaokosa vifaa vya kujifungulia, Naibu waziri asema huduma kwanza na si kuulizwa pesa
 
Pesa zote na rasilimali zote zilizopo hapa nchini ni mali ya wananchi, hivyo huyo waziri anapaswa ajue hawa kina mama watarajiwa wanatumia pesa zao na wala siyo pesa za ukoo wake.
 
Pesa zote na rasilimali zote zilizopo hapa nchini ni mali ya wananchi, hivyo huyo waziri anapaswa ajue hawa kina mama watarajiwa wanatumia pesa zao na wala siyo pesa za ukoo wake.
Ni suala la ajabu sana kwa kweli
 
Umesoma habari yote ?
Watu wanatakiwa kuwa responsible, tukianzisha habari za Afya bure tutashindwa fanya vitu vingine vingi sana, + Afya itazorota sana,

Nunuen tu vifaa vya kujifungulia wakuu, ni 25k
 
Umesoma habari yote ?
Watu wanatakiwa kuwa responsible, tukianzisha habari za Afya bure tutashindwa fanya vitu vingine vingi sana, + Afya itazorota sana,

Nunuen tu vifaa vya kujifungulia wakuu, ni 25k
Huo muda wa kununua vifaa pesa unawapatia watanzania?
 
Noma sana....
Uzazi wa mpango ukazaniwe mashuleni tuendako sio poa....

Put on your seat belt ya'll need for the ride....
 
Uzuri na ninachowapendea hao jamaa wanauchungu na pesa zisizo na maslahi kwao, ukitaka kuwake moto gusia vi8 na mishahara yao
 
Kauli hii imetolewa bungeni na naibu waziri wa afya Bwana Moleli. Amesema serikali imekuwa ikitumia kiasi kikubwa Cha pesa kugharamia wajawazito ilihali bajeti nzima ya wizara ya afya ni bilioni 200 pekee. Hii imekuja wakati baadhi ya wabunge walipotaka kujua ni upo msimamo wa serikali dhidi ya kauli za baadhi ya viongozi kwa wananchi hasa wajawazito.

My take: Rasimi serikali imeamua kujitoa ufahamu na kukaa upande wa watesi wetu. Hivi billion 227 serikali inaona ni pesa nyingi za kushindwa kuhudumia wizara ya afya? Yale mabilioni ya kuwalipa wasanii waliokwenda Korea kujifunza filamu nani aliyaidhinisha? Zile pesa za kugharamia safari za wasanii kwenye Kila kikao Cha chama nani ameidhinisha? Yale mabilioni ya pesa aliyochukua Bashe kwa kisingizio Cha BBT nani ameyakagua na kuifhinisha? Zile pesa za bakishishi kwa timu za simba na yanga maarufu kama goli la mama nani ameidhinisha? Ile milioni 700 walizopewa wachezaji wa timu ya taifa nani aliidhinisha?

Kwanini tunakuwa kama tumechanganyikiwa ?
Mbona hawalalamiki kununua mav8 Kwa kila mwanasiasa?
 
Umesoma habari yote ?
Watu wanatakiwa kuwa responsible, tukianzisha habari za Afya bure tutashindwa fanya vitu vingine vingi sana, + Afya itazorota sana,

Nunuen tu vifaa vya kujifungulia wakuu, ni 25k
N zaidi ya 100k mke wangu kajifungua hospitali ya serikali tena sio ki dispensari na bila operation ila imetoka 150k net. 100 ya madawa sijui gloves, pamba, mpira sijui sindano sijui kitu gani na 50 hongo mambo yaende kuanzia mlinzi wa hodini hadi madaktari na manesi waliohusika naye. Ww unaleta habari gani mkuu au nkupe na ushahidi wa video na miamala nliyotuma na sauti za bwana daktari akinyoosha maelezo
 
N zaidi ya 100k mke wangu kajifungua hospitali ya serikali tena sio ki dispensari na bila operation ila imetoka 150k net. 100 ya madawa sijui gloves, pamba, mpira sijui sindano sijui kitu gani na 50 hongo mambo yaende kuanzia mlinzi wa hodini hadi madaktari na manesi waliohusika naye. Ww unaleta habari gani mkuu au nkupe na ushahidi wa video na miamala nliyotuma na sauti za bwana daktari akinyoosha maelezo
Hio 50k ya hongo ni upuuzi wako, unampa hongo mlinz ya nini?
Vifaa kanunue Pharmacy ya karibu na wew vinauzwa 25k tu,

Halafu ujue, process ya kumzalisha hulipii, ila dawa na vifaa unalipia, je dawa alizopewa zilikuwa zipi? Je mtoto hakupewa dawa ?

Hio 150k uliyotumia kwa upuuzi wako ungetumia 100k tu, ambapo ingekutaka toka siku umepiga bao uwe unasave 12k kila mwez mpaka siku ya kujifungua ungekuwa nayo yote 100k,

Tuache kutetea uzembe
 
  • Thanks
Reactions: apk
Huo muda wa kununua vifaa pesa unawapatia watanzania?
Clinic ya kwanza tu ukienda wanakuambia ununue vifaa, unahitaji muda gani wa zaidi? Yan unakuwa na almost miez 6 kama ukienda clinic ukiwa na miez 3,
Bado unalalamika muda ? Tuache uzembe, tuwajibike
 
  • Thanks
Reactions: apk
Umesoma habari yote ?
Watu wanatakiwa kuwa responsible, tukianzisha habari za Afya bure tutashindwa fanya vitu vingine vingi sana, + Afya itazorota sana,

Nunuen tu vifaa vya kujifungulia wakuu, ni 25k
Unadhani hivyo vingine vilivyopo na mishahara yote ya hao walioshindwa kutunga Sera mpaka Ruzuku za Vyama ni nani anatoa ?!!!

 
Hio 50k ya hongo ni upuuzi wako, unampa hongo mlinz ya nini?
Vifaa kanunue Pharmacy ya karibu na wew vinauzwa 25k tu,

Halafu ujue, process ya kumzalisha hulipii, ila dawa na vifaa unalipia, je dawa alizopewa zilikuwa zipi? Je mtoto hakupewa dawa ?

Hio 150k uliyotumia kwa upuuzi wako ungetumia 100k tu, ambapo ingekutaka toka siku umepiga bao uwe unasave 12k kila mwez mpaka siku ya kujifungua ungekuwa nayo yote 100k,

Tuache kutetea uzembe
Usikute hilo beberu ni liofisa limoja liko serikalini linapiga hela anayolalamikiaga CAG. Hizo hela za afya kwani ni babazao au ni Kodi ya waTanzania. Watoto wanaozaliwa si watakuwa walipakodi wa kesho.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Kauli hii imetolewa bungeni na naibu waziri wa afya Bwana Moleli. Amesema serikali imekuwa ikitumia kiasi kikubwa Cha pesa kugharamia wajawazito ilihali bajeti nzima ya wizara ya afya ni bilioni 200 pekee. Hii imekuja wakati baadhi ya wabunge walipotaka kujua ni upo msimamo wa serikali dhidi ya kauli za baadhi ya viongozi kwa wananchi hasa wajawazito.

My take: Rasimi serikali imeamua kujitoa ufahamu na kukaa upande wa watesi wetu. Hivi billion 227 serikali inaona ni pesa nyingi za kushindwa kuhudumia wizara ya afya? Yale mabilioni ya kuwalipa wasanii waliokwenda Korea kujifunza filamu nani aliyaidhinisha?

Zile pesa za kugharamia safari za wasanii kwenye Kila kikao Cha chama nani ameidhinisha? Yale mabilioni ya pesa aliyochukua Bashe kwa kisingizio Cha BBT nani ameyakagua na kuifhinisha? Zile pesa za bakishishi kwa timu za simba na yanga maarufu kama goli la mama nani ameidhinisha? Ile milioni 700 walizopewa wachezaji wa timu ya taifa nani aliidhinisha?

Kwanini tunakuwa kama tumechanganyikiwa ?
kuna umbwa wengine wanaendeshwa hadi na magari ya milioni 700 tena wako wilayani tu huko wala hawaoni kama ni expenditure ya kipuuzi,POOR Tanzania.
 
Kauli hii imetolewa bungeni na naibu waziri wa afya Bwana Moleli. Amesema serikali imekuwa ikitumia kiasi kikubwa Cha pesa kugharamia wajawazito. Hii imekuja wakati baadhi ya wabunge walipotaka kujua ni upo msimamo wa serikali dhidi ya kauli za baadhi ya viongozi kwa wananchi hasa wajawazito.

My take: Rasimi serikali imeamua kujitoa ufahamu na kukaa upande wa watesi wetu. Hivi billion 227 serikali inaona ni pesa nyingi za kushindwa kuhudumia wizara ya afya? Yale mabilioni ya kuwalipa wasanii waliokwenda Korea kujifunza filamu nani aliyaidhinisha?

Zile pesa za kugharamia safari za wasanii kwenye Kila kikao Cha chama nani ameidhinisha? Yale mabilioni ya pesa aliyochukua Bashe kwa kisingizio Cha BBT nani ameyakagua na kuifhinisha? Zile pesa za bakishishi kwa timu za simba na yanga maarufu kama goli la mama nani ameidhinisha? Ile milioni 700 walizopewa wachezaji wa timu ya taifa nani aliidhinisha?

Kwanini tunakuwa kama tumechanganyikiwa ?

Soma: Mbunge ahoji kauli ya serikali kuhusu wanawake wanaokosa vifaa vya kujifungulia, Naibu waziri asema huduma kwanza na si kuulizwa pesa
Mollel ni.mjinga tu hawezi rudi next Term!

next time tunapata watu smart
 
Mimba ya miezi tisa mtu anakosa gloves! Hiyo mimba ni emergency?

Elimu ya uzazi wa mpango itolewe sana hasa kwa Waha na Wasukuma
 
Umesoma habari yote ?
Watu wanatakiwa kuwa responsible, tukianzisha habari za Afya bure tutashindwa fanya vitu vingine vingi sana, + Afya itazorota sana,

Nunuen tu vifaa vya kujifungulia wakuu, ni 25k
Navyoelewa. Wananchi wanataka viongozi ndio wawe mfano wa kuigwa katika kubana matumizi ya serikali. Madhara ya kutobana matumizi ya anasa ndiyo hupelekea wanancho kuwa wagumu kuchanga mana wanawaona viongozi wakila keki ya taifa!
 
Back
Top Bottom