serikali imelifungia shindano la miss tanzania kwa miaka miwili kwa kukiuka taratibu
serikali imelifungia shindano la miss tanzania kwa miaka miwili kwa kukiuka taratibu
lifungiwe tu ukiona mpaka Basata wamekubali kuwa kwenye miss tz kuna rushwa ya ngono ujue hali ilikuwa mbaya wameona ngoja watoe adhabu mapema wasije wakaescrowiwa baadae big up Basata
Me nafikiri wangefungia kampuni inayoendesha haya mashindano na kupewa zabuni kwa kampuni nyingine. Hivi unafikiri rushwa ya ngono ipo Miss Tz pekee?