huyu fala nilimweleza sana juu ya nyimbo zake za hovyo anazo imba kipindi hiki.
Nikamwambia watanzania watakuchoka na kukuona choko siku za usoni,
Nyimbo zilizo kufanya utoke si hizi unazoimba sa hivi, Jamaa akaniblock huko instagram, sasa yamemtokea puani
Shenzio taipuuu