Serikali yamwekea pingamizi Mbowe kesi aliyofungua dhidi ya DPP, AG na IGP

Mkuu yote kwa yote lkn suala la UGAIDI, daah, sikilizia kwa mwenzio!
 
Mfa maji haishi kutapatapa.
aache kesi ya msingi ingurume kama kweli yeye sio Gaidi, kwa nn anataka kesi ifutwe hata kabla ngoma haijachezwa?! anafahamu uovu wake wote utawekwa hadharani ni wananchi wataijua tabia yake ovu dhidi ya nchi hii.
Ninakuombea uhai ili uje kushuhudia ushindi wa HAKI dhidi ya udhalimu.
Ninaamini kuwa baada ya hapo Mungu atakufungulia ili umuache shetani na mambo yake yote na uwe mwema, mpenda haki sio kwako tu bali na kwa wengine.
 
Haki itashinda milele. Mungu mlinde Freeman.
 
Wewe mwenye nia njema umeifanyia nini nchi hii?!!....watu walitumia damu na fedha kutafuta Uhuru wako Leo unaona wana tabia ovu?!!..uliwahi kusoma hata history kidogo?!!..
Ndugu,
Tatizo kubwa sana la nchi hii ni kizazi cha hao vijana wanaoshinda vijiweni lumumba wakilishwa ujinga ambao pia wanauamini mzimamzima.
 
Ninakuombea uhai ili uje kushuhudia ushindi wa HAKI dhidi ya udhalimu.
Ninaamini kuwa baada ya hapo Mungu atakufungulia ili umuache shetani na mambo yake yote na uwe mwema, mpenda haki sio kwako tu bali na kwa wengine.
Jifunzeni kuheshimu mamlaka kwanza.
Acheni Jeuri na kujifanya wajuaji.
mtaumia bure kwa upumbavu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya kosa lake ni kumtkmba mamayako ndio ukawa unakiherhere kama demu mwenye mimba ya ndugai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…