Masaa 48 ya nini?
Tunataka hela baada ya kuuza pamba, dk 20 tu.
Mnalazimisha amcos sijui ushirika au ushirikina.
Magufuli aliharibu sana mfumo wa biashara, alitaka ujamaa ambao ulishakufa na nyerere.
Ruhusu makampuni ya kibepari yanunue pamba wakulima wapate pesa.
Binafsi nilishaapa kutolima pamba hadi serikali ya ccm iondoe hao wachawi waitwao amcos