Serikali yapiga marufuku watumishi kuendelea na ajira baada ya umri wa kustaafu kilazima

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Serikali ya Kenya imezikumbusha mamlaka zake umri wa kustaafu kwa watumishi wa umma kilazima ni miaka 60 na 65 kwa wenye ulemavu kulingana na kanuni za tume ya utumishi wa umma za mwaka 2017 na tume au mamlaka yoyote ya uteuzi haitakiwi kuongeza muda kwa watumishi hao.

Wizara ya utumishi wa umma imegundua watumishi wa umma wanakata rufaa kuiomba tume kuongezewa muda bila sababu za msingi hivyo imetoa barua kubatilisha mashauri yote yanayohusu kuongezewa muda baada ya mtumishi kufikisha umri wa kustaafu kilazima.

 

Lkn huu waraka si wa kuweka kwenye public domain.
Please Moderator fanya kazi yenu.
 
Juzi Ufaransa raia wameandamana kuoinga umri wa kustaafu kuongezwa huku Africa ndio kwanza tunafurahia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…