Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,046
- 3,971
Ahsante ndugu. Napata swali kidogo, je mabadiliko ya muda wa kufanya mtihani wa Kidato cha sita hautaathiri mihula ya Vyuo Vikuu?
Ikiwa kwa sasa wanafunzi wa kidato cha Sita wanahitimu mwezi Februari lakini ikifika mwezi wa Septemba TCU na HESLB, kwa kutumia takribani miezi nane hawajafanikiwa kuandaa vyuo na mikopo, itakuwaje watakapopewa miezi minne, (Juni mpaka September)?
ndugu yangu inakoelekea wanaktaka kuwakalisha wwahitimu mwaka mzima nyumbani na pia usisahau kuwa kuna chokochoko za kuanzisha JKT huenda huo muda wa mwaka mumoja wa kusubiri kwenda vyuoni vijana wakautumia JKT
Usidhani ni mbali, ni kesho tu mdogo wangu kimbilia darsani JF utaikuta tuForm six sisi inamana tunafanya mtihan may?
Jirani zetu wa wapi? Huyu alikuwa Profesa pale UDSM na alikuwa Mkuu wa Kitivo (sasa Skuli) cha Elimu, ni mtanzania kama weweNakubaliana na wewe hoja yako sounds like ina akili sana!! Nafikiri huo ndio mkakati...ina maana wanarudia enzi zile za zamani!! Yaani kila waziri akiingia anabadili system anavyotaka!!!
LAKINI NINA SWALI (la kizushi).. Huyu kamishna wa Elimu Jina lake (Prof. E. P. Bhalalusesa) mbona kama la kutoka kwa ''majirani zetu'' na sio humu ndani kwetu? kuna mwenye data zaidi?
Nakubaliana na wewe hoja yako sounds like ina akili sana!! Nafikiri huo ndio mkakati...ina maana wanarudia enzi zile za zamani!! Yaani kila waziri akiingia anabadili system anavyotaka!!!
LAKINI NINA SWALI (la kizushi).. Huyu kamishna wa Elimu Jina lake (Prof. E. P. Bhalalusesa) mbona kama la kutoka kwa ''majirani zetu'' na sio humu ndani kwetu? kuna mwenye data zaidi?