The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Serikali ya awamu ya 6 kupitia Wizara ya Kilimo imerudisha upya Maonyesho ya Wakulima Nanenane baada ya kuzuiwa kufanyika kwa miaka kadhaa ya uongozi wa awamu ya 5.
Kwa mujibu wa Waziri Bashe, Serikali inakusudia kuyafanya maonesho hayo ya nane name kuwa maonesho rasmi ya Kimataifa ya Wakulima na Mazao yake hivyo kualika Mataifa mbalimbali na makampuni makubwa ya kilimo Duniani.
Kwa mwaka huu wa 2022,Maonyesho ya Wakulima Nanenane yatafanyika Kitaifa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini kwenye viwanja vya John Mwakangale, Uyole jijini Mbeya.
Niiombe Serikali itakapoyafanya kuwa ni Maonyesho rasmi ya biashara zinazohusiana na Kilimo,yawe yanafanyika Mkoa wa Mbeya badala ya kuyapeleka Dar au Mikoa mingine.
Hii ni kwa sababu Mkoa wa Mbeya unatambua Sijui ya Nanenane kama sikuu rasmi na watu huwa wanasherehekea Sana tuu kuliko maeneo mengi ya Nchi.
Kwa muktadha huo wakiyapeleka Mbeya basi yatapata umaarufu mkubwa 👇
Kwa mujibu wa Waziri Bashe, Serikali inakusudia kuyafanya maonesho hayo ya nane name kuwa maonesho rasmi ya Kimataifa ya Wakulima na Mazao yake hivyo kualika Mataifa mbalimbali na makampuni makubwa ya kilimo Duniani.
Kwa mwaka huu wa 2022,Maonyesho ya Wakulima Nanenane yatafanyika Kitaifa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini kwenye viwanja vya John Mwakangale, Uyole jijini Mbeya.
Niiombe Serikali itakapoyafanya kuwa ni Maonyesho rasmi ya biashara zinazohusiana na Kilimo,yawe yanafanyika Mkoa wa Mbeya badala ya kuyapeleka Dar au Mikoa mingine.
Hii ni kwa sababu Mkoa wa Mbeya unatambua Sijui ya Nanenane kama sikuu rasmi na watu huwa wanasherehekea Sana tuu kuliko maeneo mengi ya Nchi.
Kwa muktadha huo wakiyapeleka Mbeya basi yatapata umaarufu mkubwa 👇