Marehem hasemwi vibaya kwenye mimbari same walivyo mnanga ndivyo watakavyo nagwaMsemaji wa Serikali Gerson Msigwa amesema wameipa TUCTA muda wakajadiliane kuhusu mishahara mipya kisha walete mapendekezo yao serikalini.
Naye Rais wa TUCTA Tumaini Nyamhokya amesema TUCTA wameipa muda Serikali ikaje na ufafanuzi juu mishahara kuwa pungufu ya Kima kilichoahidiwa.
Rais Nyamhokya amesema TUCTA ilitegemea ongezeko la 23.3% lingekwenda kwa bima vyote vya mishahara kama ilivyozoeleka katika miaka iliyopita.
Source ITV habari
Mimi sijaelewa maana mwanzo walisema ni asilimia 23 leo wanasema wakajadili vitu gani hivi tenaTUCTA bwana, badala ya kuomba ongezeko la mshahara, wanaomba ufafanunuzi!
Serekali na tucta ni wamoja, maigizo upepo upite maisha yaendelee,Hawa tucta wapumbavu.
Mbona kipindi cha Jiwe hawakuweza kuipa muda serikali ijieleze
kwa hiyo wanawatengeneza sioSerekali na tucta ni wamoja, maigizo upepo upite maisha yaendelee,
TUCTA mwanzo ilikuwa JUWATA moja ya tasisi za CCM, pamoja na UWT, Jumuiya ya Wazazi, na Jumuiya ya Vijana,
Huyu Mwenyekiti wa Tucta ni mtoto wa Peter Nyamohokya ambaye alikuwa Mwenyekiti wa OTTU kabla ya kuitwa Tucta,
Mimi nitoe tafsdhariíWatumishi wengi vilaza
Serikali haina Pesa ina Matumizi Makubwa kuliko MapatoMsemaji wa Serikali Gerson Msigwa amesema wameipa TUCTA muda wakajadiliane kuhusu mishahara mipya kisha walete mapendekezo yao serikalini.
Naye Rais wa TUCTA Tumaini Nyamhokya amesema TUCTA wameipa muda Serikali ikaje na ufafanuzi juu mishahara kuwa pungufu ya Kima kilichoahidiwa.
Rais Nyamhokya amesema TUCTA ilitegemea ongezeko la 23.3% lingekwenda kwa bima vyote vya mishahara kama ilivyozoeleka katika miaka iliyopita.
Source ITV habari
Wangeanzia wapi kumchezea sharubu mzee wa kazi??! hahaHawa tucta wapumbavu.
Mbona kipindi cha Jiwe hawakuweza kuipa muda serikali ijieleze
KumbeSerekali na tucta ni wamoja, maigizo upepo upite maisha yaendelee,
TUCTA mwanzo ilikuwa JUWATA moja ya tasisi za CCM, pamoja na UWT, Jumuiya ya Wazazi, na Jumuiya ya Vijana,
Huyu Mwenyekiti wa Tucta ni mtoto wa Peter Nyamohokya ambaye alikuwa Mwenyekiti wa OTTU kabla ya kuitwa Tucta,
Huyu Jamaa ni msanii hafai. Kwa Nini tusiitishe maandamano yasiyo na kikomo akaondolewa?mimi sijaelewa maana mwanzo walisema ni asilimia 23 leo wanasema wakajadili vitu gani hivi tena
Maandamano?!!Huyu Jamaa ni msanii hafai. Kwa Nini tusiitishe maandamano yasiyo na kikomo akaondolewa?
Serikali haina Pesa ina Matumizi Makubwa kuliko Mapato
km Pesa zinazotumika kuwalipa kina HALIMA na Genge lake ni Matumizi mabaya ya KODI za Wananchi hawana Sifa ya kuwa Wabunge Fedha hizo zingekwenda kwenye NYONGEZA ya Mishahara