johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Msemaji wa Serikali Mh Msigwa amesema kimsingi ATCL inapata Faida kutokana na kusababisha Watalii kuongezeka mara Sugu
Msigwa amesema huwezi kupima faida ya ATCL Kwa kuangalia mauzo ya ticket pekee
RIP shujaa Magufuli
Mlale unono 😀
Msigwa amesema huwezi kupima faida ya ATCL Kwa kuangalia mauzo ya ticket pekee
RIP shujaa Magufuli
Mlale unono 😀