Serikali yashindwa kuchukua hatua dhidi ya wakopeshaji wa Mtandaoni? Utafiti: mmoja Kati ya Watu 200 wanaodhalilishwa hujiua

Serikali yashindwa kuchukua hatua dhidi ya wakopeshaji wa Mtandaoni? Utafiti: mmoja Kati ya Watu 200 wanaodhalilishwa hujiua

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Kwa ufupi ni mambo ya hovyo sana, watu wanaweza kuchukua taarifa zako na kuzisambaza mtandaoni!. Watu wanasema dawa ya deni kulipa ila si kwa kudhalilishana pale mtu anaposhindwa kulipa.

Ndugu yangu amefadhaika sana baada ya kampuni moja ya mtandaoni kumsambazia jumbe za kumdhalilisha. Kweli taifa tumefikia hapa?

It's not fair Kuna watu wanajiua kwa sababu ya udhalilishaji wanaofanyiwa na makampuni haya. Serikali na vyombo vya usalama walindeni Watanzania hata kama wanakopa na kuchelewesha kulipa Bado Wana haki ya kulindwa.

Soma Pia:
 
Kwa ufupi ni mambo ya hovyo sana, watu wanaweza kuchukua taarifa zako na kuzisambaza mtandaoni!. Watu wanasema dawa ya deni kulipa ila si kwa kudhalilishana pale mtu anaposhindwa kulipa. Ndugu yangu amefadhaika sana baada ya kampuni moja ya mtandaoni kumsambazia jumbe za kumdhalilisha. Kweli taifa tumefikia hapa? It's not fair Kuna watu wanajiua kwa sababu ya udhalilishaji wanaofanyiwa na makampuni haya. Serikali na vyombo vya usalama walindeni watanzania hata kama wanakopa na kuchelewesha kulipa Bado Wana haki ya kulindwa.
Hao TCRA sidhani kama wamewaruhusu kudukua contacts za watu na kuanza kuwasumbua eti wamemdhamini mkopaji wakati si kweli.

BOT kama regurator kazi yao ni nini ikiwa mtu anajianzishia kikampuni chake cha mtandaoni anajiwekea riba anavyotaka yeye ambayo haijawa regurated na BOT ndani ya siku 6 unaanza kutukanwa na kutishwa na kudhalilishwa ulipe deni hata deadline haijapita.Kuna ndugu yangu tena juzi tu alikopeshwa 132K na kampuni inayojiita RAPID FINANCE ndani ya siku 6 alitakiwa alipe 204K,yaani kwa siku hzo 6 tu wanabeba elf70 kama riba,unategemea mkopo hautasumbua huo?

Hiyo ni kaushadamu ya mtandaoni na BOT walivyo wazembe wapo kimiya kabisa na ukifuatilia makampuni haya hayatambuliwi na BOT na hawashtuki kuwafuatilia
 
Hizi ndio mada za kiwaki sasa humu jamvini...alokutuma ukakope ni nani? ukipenda vitu rahisi au dezo hayo ndo malipo yake
 
Kwa ufupi ni mambo ya hovyo sana, watu wanaweza kuchukua taarifa zako na kuzisambaza mtandaoni!. Watu wanasema dawa ya deni kulipa ila si kwa kudhalilishana pale mtu anaposhindwa kulipa.

Ndugu yangu amefadhaika sana baada ya kampuni moja ya mtandaoni kumsambazia jumbe za kumdhalilisha. Kweli taifa tumefikia hapa?

It's not fair Kuna watu wanajiua kwa sababu ya udhalilishaji wanaofanyiwa na makampuni haya. Serikali na vyombo vya usalama walindeni Watanzania hata kama wanakopa na kuchelewesha kulipa Bado Wana haki ya kulindwa.
Mmelazimishwa kukopa
Mtanzania kwanza asili yake
Siyo mlipaji

Ova
 
Kwa hili serikali ya CCM inabidi iingilie kati.Hawa jamaa wanatoza riba kubwa sana wakati huo huo hakuna mapato stahili yanakusanywa na serikali.Wasiwasi wangu inawezekana katika hii biashara kuna vigogo wanahusika labda na ndo maana inakuwa ngumu kuwashughulikia hawa watu.Wanatoa mikopo na kulipwa kupitia namba za simu hivo ni rahisi kuwajua.Wakiulizwa ofisi zilipo hawakuonyeshi hapo ndo ujue hawa ni magumashi ! BOT mko wapi ??
Jee hii haiwezi kuwa money laundering ?? Hebu tujadili
 
Back
Top Bottom