Serikali yasitisha utafutaji wa miili katika msitu wa shakahola

Serikali yasitisha utafutaji wa miili katika msitu wa shakahola

Kenyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
414
Reaction score
314
Waziri wa usalama wa ndani Professor Kithure Kindiki ametangaza kuwa serikali imesitisha shughuli ya kusaka miili ya waumini wa dhehebu la mchungaji Paul Mackenzie kutokana na mvua kubwa inayoshuhudiwa Kilifi muda huu.

'Wataalam wameshauri tusitishe kidogo kwani ni shughuli inayohitaji kuwa makini zaidi. Udongo inapaswa usiwe na unyevunyevu kwa lengo la kutoharibu ushahidi."

Miili zaidi ya 110 imepatikana mpaka kufikia sasa.
20230425_123658.jpg
 
Watu wamevamia msitu wana fanya shughuli zao kienyeji bila mjumbe wa eneo kujua? Mamlaka zinazo husika na misitu?

Kwa hiyo ata alshabab wana weza weka kambi huko na wasijue...! Au yawezekana wana tafutwa Somalia kumbe wapo katika misitu ya Kenya
 
Poleni Sana Msiba Mzito Kwa Taifa Lakini Haya Makanisa Yanahitaji Kufanyiwa Vetting Bhalaa Kubwa. Wananchi Tuache Kufuata Miujiza Tutakwisha Haraka Sana
 
Back
Top Bottom