BINARY NO
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 2,151
- 2,162
Tangazo ambalo nimekumbana nalo leo ofisini ni kua kutokana na uhaba sugu wa walimu wa sayansi basi imekuja na mpango wa miezi mitatu wa kutrain watu waliosoma masomo yote ya sayansi na hesabu na awe ana ufaulu wa subsidiary results yani 'S' kwenye masomo mawili basi watapelekwa kusomea stashahada kwa miaka miwili....So ilo tangazo linataka watu wote walio tiyari kuanzia huo mwaka basi wajiunge haraka kuokoa jahazi ambalo linaelekea kuzama la uhaba sugu la walimu wa masomo ya science! na lazima wawe wamefika kidato cha 5 na 6
My Take! Je hili ndo litakua suluhisho la ufaulu mbovu wa masomo ya sayansi kwa kuchukua watu waliofeli kwani kwa ufaulu wa S kwa mtu aliesoma advance yani haukupeleki popote!
My Take! Je hili ndo litakua suluhisho la ufaulu mbovu wa masomo ya sayansi kwa kuchukua watu waliofeli kwani kwa ufaulu wa S kwa mtu aliesoma advance yani haukupeleki popote!