maximum ni matano ila ikitokea ukafiluta ili uadd machaguo mengne ukirefresh page machaguo yote yanarudi hata uliyoondoaNamaanisha machaguo maximum ni shule tano ila unaweza kuchagua pungufu ya hapo kutegemeana na kipendeleo chako
Chuoni sikupataKwanini hauna
Leo nimeondoka 1 Ili nifanye mabadiliko matokeo yake zimekuja shule 6 ile niliyoitoa haijatoka ,ila imeongezeka ya 6Limit ni machaguo matano
Mwifwa habari. Wakati najaza taarifa sijaona mahala pakupakia CV lakini kwenye maelekezo wamesema tuambatanishe. Nisaidie kama unajua ni wapi nimekosea mkuu.Mtori huu nyama zinanukia ndani
CV na barua viweke kwenye PDF moja, halafu attach kwenye sehemu ya Application letter.Mwifwa habari. Wakati najaza taarifa sijaona mahala pakupakia CV lakini kwenye maelekezo wamesema tuambatanishe. Nisaidie kama unajua ni wapi nimekosea mkuu.
View attachment 1784847
Cheti na transcript huwa vinatolewa kwa pamoja, iweje ulipata cheti pekee?Chuoni sikupata
Nimejaribu kufanya hivyo ila system inanipeleka kwenye account hii mpya badala ya ile ya zamani. Hakuna njia ya kuifuta hii account mpya?Reset password utumie account yako ya zamani. Mfumo haukubali mtu mmoja kuwa na account mbili tofauti
Nauliza ukishamaliza kujaza maombi yanaenda yenyewe moja kwa moja?mbona sion sehemu imeandikwa send?au nyie mmefanyaje?
Kwahiyo kumbe maombi yanajituma yenyewe baada ya kumaliza kujaza?Ukikamilisha tu utaona ujumbe kwa juu mamombi yametumwa tamisemi kikamilifu
Mana mi inanambia maombi yako yamekamilika na kutumwa tamisemi kwahiyo hapo inamanisha maombi yashaenda?Kwahiyo kumbe maombi yanajituma yenyewe baada ya kumaliza kujaza?
Hapana ni TumainiUniversity of Iringa si ndio Mkwawa ?
mkuu unakosea kitu either passwed au user name, jarbu ingia hv mfano s1245-0076/2014,au inasumbua wapi,nipe nmba yako nkuunge kwenye group flan watu watakusaidia zaidMimi kila nikijaribu kuingia naambiwa unathorised user jaman naombeni msaada wandugu kijana wangu atakosa nafasi
Sema wewe kijanawako nani kakuulizaMimi kila nikijaribu kuingia naambiwa unathorised user jaman naombeni msaada wandugu kijana wangu atakosa nafasi
Reset password kwa email ulotumia KUFUNGUA AKAUNTMimi kila nikijaribu kuingia naambiwa unathorised user jaman naombeni msaada wandugu kijana wangu atakosa nafasi
mkuu msaada na mimi kuna shida huu mfumo kama wanaweza kunisaidia. PM yako umefungamkuu unakosea kitu either passwed au user name, jarbu ingia hv mfano s1245-0076/2014,au inasumbua wapi,nipe nmba yako nkuunge kwenye group flan watu watakusaidia zaid
mkuu nipe namba yakomkuu msaada na mimi kuna shida huu mfumo kama wanaweza kunisaidia. PM yako umefunga