joel philipo
JF-Expert Member
- Jul 6, 2016
- 242
- 180
HakikaWaliokua wanajitolea na wasiojitolea utawabaini vipi? Maana kigezo cha barua zakujitolea wote wanakua nazo tofauti ni mmoja anatumia Tsh 20,000- 50,000 kuipata kwa mkuu wa shule na mwingine anapewa bure.
mkuu PM yako haifikikimkuu nipe namba yako
mkuu PM yako haifikiki
Mimi kila nikijaribu kuingia naambiwa unathorised user jaman naombeni msaada wandugu kijana wangu atakosa nafasi
join apo ulza tatzo utapata msaada sana
Dah inagoma kwangujoin apo ulza tatzo utapata msaada
Waliomaliza chuo 2020 wanaruhusiwa kuombaDah inagoma kwangu
Hapana ila jaribu..Waliomaliza chuo 2020 wanaruhusiwa kuomba
Naweka email nilotumia inanigomeaReset password kwa email ulotumia KUFUNGUA AKAUNT
0763950219mkuu unakosea kitu either passwed au user name, jarbu ingia hv mfano s1245-0076/2014,au inasumbua wapi,nipe nmba yako nkuunge kwenye group flan watu watakusaidia zaid
Kwenye namba ya mtihani usiweke mwakaWakuu mbona apa mi inanigomeaView attachment 1788186
Asante Sana ngoja niingieKwenye namba ya mtihani usiweke mwaka
Umeweka S ndogo piaWakuu mbona apa mi inanigomeaView attachment 1788186
Imekubali mkuuUmeweka S ndogo pia
Kwanza kupata nafasi ya kujitolea ni shughuli na hupatiHayo masharti yote mnaweka ya nini wakati shule nyingi hazina walimu?
Hayo masharti ni kweli yana malengo ya kupunguza idadi ya waombaji/watakaopata ajira, na zaidi mnataka watu wenu wapate kwanza, otherwise sioni maana muweke masharti mengi wakati bado kuna upungufu mkubwa wa walimu.
Mwalimu akishatoka chuo anafaa kufundisha, vinginevyo kama hamuamini uwezo wa wahitimu futeni hivyo vyuo mtafute njia yenu ya kupata walimu wenye sifa.
Nafasi za kujitolea zipo nyingi Sana kwa masomo ya sayansi kwenye shule za sekondari za kata (lakini kinachokatisha tamaa na watu wengi kushindwa kwenda kujitolea bila malipo ya aina yoyote) Yani kila kitu ujihudumie unachopewa Ni vipindi,vitabu, lesson plan na chaki) hicho kinatufanya wengi wetu kukata tamaa ya kwenda kujitolea kwa namna hiyoKwanza kupata nafasi ya kujitolea ni shughuli na hupati
Hapo wanawatafita wakwao tu
Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
Kwan cheti chako kimetolewa na Nacte au Tcu?Hivi vyuo vya ualimu shule za msingi vilipelekwa TCU au bado vipo nacte?
Maana naweka NACTE inagoma.
Msaada,namwombea dogo.
Ila nikiweka TCU inakubali