Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Habar zenu,kuna mtu anatafuta msaada...majina aliyotumia kwenye vyet vyake vya kitaaluma pamoja na chet cha kuzaliwa yanatofautiana na majina ya kitambulisho cha taifa,swali n je anaweza kubadilisha majina ya vyeti?na mlolongo wake uwa uko vp...Asanten
 
Uwiiiii mziki
 
Aende mahakaman akapewe deed poll
 
Nipe laki na nusu nikusaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…