Serikali yatenga Tsh. Bilioni 10 ujenzi jengo la Kariakoo

Serikali yatenga Tsh. Bilioni 10 ujenzi jengo la Kariakoo

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Serikali imetenga Tsh. bilioni 10 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa soko jipya la Kariakoo na kukarabati soko kuu lililoungua moto Julai 2021

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashugwa amesema hayo wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara, leo Aprili 14, 2022

Aidha, TAMISEMI imeliomba Bunge kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi ya kiasi cha shilingi trilioni 8.76 kwa mwaka wa fedha 2022/23 kwa wizara hiyo


Source: Azam TV
 
Soko kubwa kama kariakoo baada ya moto linasubiri ruzuku ya serikali kujengwa upya, soko linalokusanya billions of money lakini halina insurance , maji wala vyoo na ni chafu kuliko Manzese ,hivi waafrica nani katuroga???
 
Soko kubwa kama kariakoo baada ya moto linasubiri ruzuku ya serikali kujengwa upya, soko linalokusanya billions of money lakini halina insurance , maji wala vyoo na ni chafu kuliko Manzese ,hivi waafrica nani katuroga???
Hata likijengwa litaungua tena

USSR
 
Serikali imetenga Tsh. bilioni 10 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa soko jipya la Kariakoo na kukarabati soko kuu lililoungua moto Julai 2021

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashugwa amesema hayo wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara, leo Aprili 14, 2022

Aidha, TAMISEMI imeliomba Bunge kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi ya kiasi cha shilingi trilioni 8.76 kwa mwaka wa fedha 2022/23 kwa wizara hiyo


Source: Azam TV
Utani huu, Bilioni 10 kujenga soko la Kariakoo ni ndogo sana, tena kiduchu tu.
 
Back
Top Bottom