Serikali yatetea kutenga Tsh. Bil 54 kwenye vijiji 48 vilivyofutwa

Serikali yatetea kutenga Tsh. Bil 54 kwenye vijiji 48 vilivyofutwa

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Mbunge wa Makete (CCM), Festo Sanga ametaka sababu za kutengwa fedha hizo kwa ajili ya Vijiji 48 Wilayani Mbarali wakati timu ya Mawaziri 8 imevifuta na havipo.

Amesema Serikali ilisaini mikataba 15 ya kuwezesha umwagiliaji na kuhoji nani atafaidika na fedha hizo wakati tayari Mawaziri wamefuta Vijiji.

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba ametetea fedha hizo kutengwa akisema bado majadiliano baina ya Wananchi na Serikali ya kuvifuta vijiji hivyo yanaendelea.

===================

 
Sikuona haja ya kufuta vijiji na kuweka hizi kwa ajili ya fidia kati kuna vitv vya maana kama maji, umeme, madarasa tunaupungufu navyo
 
Sikuona haja ya kufuta vijiji na kuweka hizi kwa ajili ya fidia kati kuna vitv vya maana kama maji, umeme, madarasa tunaupungufu navyo
Ndio maana mbunge kaomba ufafanuzi
Wajibu ni za nini full stop sio kitu kikubwa
 
Back
Top Bottom