Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Uwanja wa Mkapa kabla ya kuanza kwa mchezo wa kirafiki kati ya Simba dhidi ya Al Hilal, Februari 5, 2023.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha kwa uwanja wa Mwamposa au sio?uwanja wa ibada
Ni lini serikali ya CCM ikakiri kosa? Kazi Yao ni kukanusha hata vitu ambavyo viko Wazi Kwa Kila Mtu.Yani ni aibu ukisoma hii barua na ukiangalia mechi zinazo chezwa kila uchwao ktk uwanja mbovu(sehemu ya kuchezea)
Wame shindwa kuchukua hatua stahiki kuokoa ata hiki kidogo tulicho bakiza
Wakicheza uwanja sehemu ya kucheza utageuka vumbi (kipara)
Mkapa Stadium iko na nyasi bandia!!!???Majibu sijayaelewa, huyo mzabuni hadi kwenye pitch ya kuchezea au yeye ni masuala ya usafi wa uwanja tu, maana hadi leo naona hizo nyasi bandia zimechoka balaa, au mzabuni hajapaona au TFF au bodi ya ligi au sirikali yenyewe tu?
Ndiyo sera za chama chako cha ccm hizo za kutengeneza mazingira ya hayo makongamano na matakataka mengine kufanyika humo uwanjani. Hivyo hutakiwi kulalamika.Uwanja wa mpira wa miguu una geuzwa uwanja wa disco, uwanja wa ibada, uwanja wa ngumu, uwanja wa kila kitu
Uwanja utumike kwa matumizi kusudiwa na sio kila matumizi wakati sio lengo haswa la ujenzi wenyewe
Huu uwanja nadhani ujenzi wake uliishia njiani. Una dalili zote kuwa kuna mambo yalikatwa au kufanywa chini ya viwango, ndani na nje ya pitch.Ulijengwa chini ya viwango.
HAKUNA HATA GEISER.
Bomba za kumwagilia Maji.
Tv MATANGAZO.
UWANJA UNATWAMISHA MAJI.
RANGI ZIMECHOKA.
HAKUNA MATUNZO
Ule ni uwanja wa michezo na siyo uwanja wa mpira wa miguu tu,ndiyo maana lanes za riadha,uwanja wa kikapu na mpira wa Pete,we ulishaona lanes za riadha old Trafford au Emirates!?..vile ndiyo viwanja vya mpiraUwanja wa mpira wa miguu una geuzwa uwanja wa disco, uwanja wa ibada, uwanja wa ngumu, uwanja wa kila kitu
Uwanja utumike kwa matumizi kusudiwa na sio kila matumizi wakati sio lengo haswa la ujenzi wenyewe
mapato,,mapato,,mapato,serikali inawaza mapato tu aiangalii changamoto zingine.Uwanja wa mpira wa miguu una geuzwa uwanja wa disco, uwanja wa ibada, uwanja wa ngumu, uwanja wa kila kitu
Uwanja utumike kwa matumizi kusudiwa na sio kila matumizi wakati sio lengo haswa la ujenzi wenyewe
Hakuna nyasi bandia kwa mkapa jiridhishe kwanza mkuu,bandia ziko UhuruMajibu sijayaelewa, huyo mzabuni hadi kwenye pitch ya kuchezea au yeye ni masuala ya usafi wa uwanja tu, maana hadi leo naona hizo nyasi bandia zimechoka balaa, au mzabuni hajapaona au TFF au bodi ya ligi au sirikali yenyewe tu?