Serikali yatumia Tsh. Bilioni 30.5 kutokomeza ukatili wa wanawake na watoto

Serikali yatumia Tsh. Bilioni 30.5 kutokomeza ukatili wa wanawake na watoto

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Tathmini ya utekelezaji wa mpango kazi wa kwanza wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto inaonyesha jumla ya Sh30.5 bilioni zimetumika katika utekelezaji wa afua za kukabiliana na vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.

2. Hizi fedha zilitumika kufanya kazi zipi na wapi?

3. Hii wizara ni lazima isimamiwe na jinsia moja TU? Ninaona tunapigwa na kitu kizito.

Source: Mwananchi, , Mei 31, 2024
 
Back
Top Bottom