mimi mkali
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,794
- 1,570
Huwa kuna muda unapewa wa majaribio na kiasi cha bidhaa kupelekwa sokoni....Sawa,lakini mlizipitisha wenyewe. Na je, watu ambao wameishazitumia mtawafidiaje kwa madhala waliyoyapata maana mnasema hazifai kwa matumizi ya binadamu. Tukumbukeni taifa litajengwa na upendo, umoja,mshikamano na amani kwa faida ya watanzania wote Wa sasa hata vizazi vijavyo bila kujali rangi, kabila,dini na hata itikadi ya mtu. Utanzania kwanza !
nani alimpa vibali vya kuingizwa nchini kwa mara ya kwanza kama sio wenyewe??Ikiwezekana na yeye akamatwe...kama hazina vigezo fungia bila kuangalia rangi wala jina...
Mange anasemaje?
Usiwe msahaulifu kuna MTU kiongozi wa ccm mkoa katulisha ARV fake umesahau?Ikiwezekana na yeye akamatwe...kama hazina vigezo fungia bila kuangalia rangi wala jina...
Mange anasemaje?
Unaniuliza maswali wakati ukiwa umesha andaa majibu yako...nani alimpa vibali vya kuingizwa nchini kwa mara ya kwanza kama sio wenyewe??
na nn kimetokea saa hv akat mwanzo viwe halali saa hv sio halali
kosa lake linajulikana ila sio hzo lipstick
Kitu chochote chaweza kuwa sahihi inawezekana ikawa anafanyiwa figisu, lakini pia kupitisha mara ya kwanza si kigezo kwa kuwa unaweza pata kibali baadae batch zinazofuata ukavunja standard na kuchakachua hivo kupitia continous monitoring ya product ikabainika umeanza uchakachuzi.nani alimpa vibali vya kuingizwa nchini kwa mara ya kwanza kama sio wenyewe??
na nn kimetokea saa hv akat mwanzo viwe halali saa hv sio halali
kosa lake linajulikana ila sio hzo lipstick
murembo nimependa hiyo miguu njoo ni kurambe....Luckyline your legs thou
Hiyo miguu sio ya Dr Louis kwelimurembo nimependa hiyo miguu njoo ni kurambe....
Amini usiamini hata hiyo app watasema inawaumiza macho, hivyo haifai kabisa hii nchi ni kufelishana tuPolitics tu hizi unafikiri angekua kijani wangemsumbua
yeye akazanie ile app yake tu