Serikali yazindua kituo cha Tehama Chato

Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Chato Itabaki Kuwa Juu,Juu Mawingu
πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜
 
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Chato Itabaki Kuwa Juu,Juu Mawingu
πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜
Usje ukabugi kwenda kutafuta ajira utaishia kukutana na mikokoteni ya punda
 
Wachaga watajinyonga kwa wivu
Mimi wala sio mchaga...huu unafanya ni utoto...wachaga wajinyonge kwanini...?mbona unakua mkabila hivyo?
Kama ni maendeleo katika dhana hii mbona Kilimanjaro iko maili nyingi mbele kuliko Chato...
 
Binafsi nilikuwa najiuliza hiki kituo cha tehama kikoje?
Wananchi wanadanganywa kwa maneno halafu wanaanza kusifia kweli hahaa ukweli ni kwamba wanazindua vilivyopo na kuchezea kodi bila vipaumbele wananchi wa geita karibia wote wana simu za mkononi na wanaperuzi kwenye internet
Vipaumbele vya watu wa Geita ni vingi sio kwenda kuwafungulia Internet cafe halafu kuizindua kwa mbwembwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…