Serikali yetu kwa hili, taifa letu linagawanyika

Serikali yetu kwa hili, taifa letu linagawanyika

EMMANUEL JASIRI

Senior Member
Joined
Feb 2, 2015
Posts
150
Reaction score
84
TAIFA la Tanzania halina dini ila wananchi wanazo dini zao na Imani zao isipokuwa zisivunje Sheria za nchi.

Hata hivyo kwa makusudi wamekuwepo Watu ambao wanazishambulia Imani za watu wengine kwa lugha mbaya za udhalilishaji na waziwazi lakini Wana angalia tu

Kuna wanaitwa, maaskofu, wachungaji, mashehe, mitume, Manabii, wainjilisti n.k

Utawakuta waziwazi wakiidhalikisha imani ya mtu mwingine kupitia mahubiri yake au hotuba lakini hafuatiliwi

Kama kweli nina uhuru wa kuabudu bila kuvunja Sheria za nchi ni kwa nini mtanzania mwenzangu anitamkie maneno ya kunikera na kuniudhi kwa Kile nacho kiamini,


Mfano,unamkuta kiongozi mmoja wa dini anamshutumu kiongozi mwingine hadharani kuwa ni mwizi au tapeli bila kuthibitisha kisheria

Leo hii viongozi wa dini wanatumia muda wao katika mahubiri kuyataja makundi ya Imani fulani fulani kuwa ni ya kutapeli,wezi bila kuthibitisha

Kama ni kweli Kwanini hawawaripoti polisi

Na kama si kweli, Kwanini serikali yetu isiwachukulie hatua za kisheria viongozi wa dini wanazua uongo ili kuwachafua viongozi wenzao katika dini?

Kusema ukweli kila asibugudhiwe katika imani yake kama havunji sheria yoyote ya nchi

Wachungaji,mashehe, maaskofu,mitume au Manabii au yeyote akiingilia uhuru wa ibada ya mtu mwingine mchukulieni hatua haraka.

Vingine to Serikali nitakuwa hamtutendei haki ya uhuru wa kuabudu.
 
Acheni kuwaibia waumini wenu kwa kuwauzia mafuta na maji ya kawaida huku mkiyaita majina fulani ili kuwababaisha.
 
TAIFA la Tanzania halina dini ila wananchi wanazo dini zao na Imani zao isipokuwa zisivunje Sheria za nchi.

Hata hivyo kwa makusudi wamekuwepo Watu ambao wanazishambulia Imani za watu wengine kwa lugha mbaya za udhalilishaji na waziwazi lakini Wana angalia tu

Kuna wanaitwa, maaskofu, wachungaji, mashehe, mitume, Manabii, wainjilisti n.k

Utawakuta waziwazi wakiidhalikisha imani ya mtu mwingine kupitia mahubiri yake au hotuba lakini hafuatiliwi

Kama kweli nina uhuru wa kuabudu bila kuvunja Sheria za nchi ni kwa nini mtanzania mwenzangu anitamkie maneno ya kunikera na kuniudhi kwa Kile nacho kiamini,


Mfano,unamkuta kiongozi mmoja wa dini anamshutumu kiongozi mwingine hadharani kuwa ni mwizi au tapeli bila kuthibitisha kisheria

Leo hii viongozi wa dini wanatumia muda wao katika mahubiri kuyataja makundi ya Imani fulani fulani kuwa ni ya kutapeli,wezi bila kuthibitisha

Kama ni kweli Kwanini hawawaripoti polisi

Na kama si kweli, Kwanini serikali yetu isiwachukulie hatua za kisheria viongozi wa dini wanazua uongo ili kuwachafua viongozi wenzao katika dini?

Kusema ukweli kila asibugudhiwe katika imani yake kama havunji sheria yoyote ya nchi

Wachungaji,mashehe, maaskofu,mitume au Manabii au yeyote akiingilia uhuru wa ibada ya mtu mwingine mchukulieni hatua haraka.

Vingine to Serikali nitakuwa hamtutendei haki ya uhuru wa kuabudu.

Kukosoa dini zingine sio kosa kisheria.
Ni kama kukosoa serikali.

Sasa kama MTU anaona kwenye dini yenu mnaabudu vitu vya ajabu unataka asiseme?
Kukosolewa sio matusi.
 
Kukosoa dini zingine sio kosa kisheria.
Ni kama kukosoa serikali.

Sasa kama MTU anaona kwenye dini yenu mnaabudu vitu vya ajabu unataka asiseme?
Kukosolewa sio matusi.
Sijapinga kukosa,napinga kashfa au lugha mbaya,hii hii inachochea uadui,

Pia hauwezi kunilazimisha kwa nguvu nifuate Unacho amini

Nina uhuru wa kuabudu,ukitumia lugha ya kudharau au kudhalilisha huko ni kuninyima uhuru wa kuabudu
 
UKukosoa dini zingine sio kosa kisheria.
Ni kama kukosoa serikali.

Sasa kama MTU anaona kwenye dini yenu mnaabudu vitu vya ajabu unataka asiseme?
Kukosolewa sio matusi.
Sijapinga kukosa,napinga kashfa au lugha mbaya,hii hii inachochea uadui,

Pia hauwezi kunilazimisha kwa nguvu nifuate Unacho amini

Nina uhuru wa kuabudu,ukitumia lugha ya kudharau au kudhalilisha huko ni kuninyima uhuru wa kuabu
 
Mtu aliye huru hapaswi na mtu mwingine awaye yote

Kama mimi sikusumbui kuhusu ibada yako kwanini wewe unisumbue kwenye ibada

KWA HILI watu wanavuka mipaka naomba serikali itusaidie
 
Kea kweli serikali iingilie kati kuwadhibiti wale wanao tumia kauli za matusi kwenye Imani ya mtu mwingine
Mfano ,Waislamu Wana amini Kuwa Mohammed ni Nabii Wa kweli,halafu mtu anadharau anasema Muhammad ni Nabii wa uongo,hiyo ni kashfa ,ni kudharau uislamu
Watu wenye kukera watu wengine kiimani wachukuliwe hatua hii
 
Kama huwezi kumwelimisha mtu ni afadhali ukanyamaza Kuliko kutumia lugha ya matusi na kufedhehesha
 
Mfano,unamkuta kiongozi mmoja wa dini anamshutumu kiongozi mwingine hadharani kuwa ni mwizi au tapeli bila kuthibitisha kisheria
Kwani Mkuu kazi ya Mhubiri au Kiongozi wa Dini si ni kukemea wezi, matapeli na wazinzi??
Sasa mtu akikemea hayo ambayo ndio msingi wa kazi ya Dini kwa nini ionekane ni kero kwako?

Serikali haina dini saaa mbona unataka ianzw kuingilia mambo ya dini?
 
Back
Top Bottom